Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mwaka 2019/2020 tulimpiga Madrid nje ndani 2-1 home ,tukaenda kwao tukampiga 2-1 , aggregate 4-2 ...

Madrid akatolewa kwenye mashindano round of 16 ...

Yaliyotokea mwaka Jana kumfunga Madrid 4-3 home ,tukaenda kwake 2-1 ,had extra time ilikuwa kma luck kwao ..

Nasema hivi kama mnaweza nyie mbwa njooni tukutane Tena CL ....ngonja kwanza tumtwange buyern munich harafu tunakuja kuwanyoosha mtaeleza zile goli mbili dakika ya mwisho mlizipataje ..View attachment 2555377

Inamaana ww kushinda nisawa ukipoteza niluck kwa mpinzani sio
 
Mwaka 2019/2020 tulimpiga Madrid nje ndani 2-1 home ,tukaenda kwao tukampiga 2-1 , aggregate 4-2 ...

Madrid akatolewa kwenye mashindano round of 16 ...

Yaliyotokea mwaka Jana kumfunga Madrid 4-3 home ,tukaenda kwake 2-1 ,had extra time ilikuwa kma luck kwao ..

Nasema hivi kama mnaweza nyie mbwa njooni tukutane Tena CL ....ngonja kwanza tumtwange buyern munich harafu tunakuja kuwanyoosha mtaeleza zile goli mbili dakika ya mwisho mlizipataje ..View attachment 2555377
Ngoja tuone ubabe wenu kwa Bayern...
 
Mwaka 2019/2020 tulimpiga Madrid nje ndani 2-1 home ,tukaenda kwao tukampiga 2-1 , aggregate 4-2 ...

Madrid akatolewa kwenye mashindano round of 16 ...

Yaliyotokea mwaka Jana kumfunga Madrid 4-3 home ,tukaenda kwake 2-1 ,had extra time ilikuwa kma luck kwao ..

Nasema hivi kama mnaweza nyie mbwa njooni tukutane Tena CL ....ngonja kwanza tumtwange buyern munich harafu tunakuja kuwanyoosha mtaeleza zile goli mbili dakika ya mwisho mlizipataje ..View attachment 2555377
Kwahyo wew unasahau vipigo vyote alivyokupa Real Madrid au umeaza kuangalia game jana mwaka 2012 Real Madrid alikupiga 3 mbili pale bernabeu Cristiano Ronaldo anafunga Goli dakika za lala salama au ulikua bado upo shule mwaka 2016 Real Madrid anakutoa semi final Kwa Goli moja la Gareth bale pale bernabeu wew ulikua uko wapi mwaka jana Tena kakutoa Nusu fainili Real Madrid na city ni Mbingu na ardhi kabisa wew kabishane na stoke city,Leeds united, Sunderland Ndio level zenu hizo
 
Kwahyo wew unasahau vipigo vyote alivyokupa Real Madrid au umeaza kuangalia game jana mwaka 2012 Real Madrid alikupiga 3 mbili pale bernabeu Cristiano Ronaldo anafunga Goli dakika za lala salama au ulikua bado upo shule mwaka 2016 Real Madrid anakutoa semi final Kwa Goli moja la Gareth bale pale bernabeu wew ulikua uko wapi mwaka jana Tena kakutoa Nusu fainili Real Madrid na city ni Mbingu na ardhi kabisa wew kabishane na stoke city,Leeds united, Sunderland Ndio level zenu hizo
Wewe kiraka nakusibili tukutane Tena CL .....

Chogo kama madenge wewe ....

Komwe kama kijiko cha mboga ....
 
Kwahyo wew unasahau vipigo vyote alivyokupa Real Madrid au umeaza kuangalia game jana mwaka 2012 Real Madrid alikupiga 3 mbili pale bernabeu Cristiano Ronaldo anafunga Goli dakika za lala salama au ulikua bado upo shule mwaka 2016 Real Madrid anakutoa semi final Kwa Goli moja la Gareth bale pale bernabeu wew ulikua uko wapi mwaka jana Tena kakutoa Nusu fainili Real Madrid na city ni Mbingu na ardhi kabisa wew kabishane na stoke city,Leeds united, Sunderland Ndio level zenu hizo

Acha kubishana na watu walioanza kutazama mpira juzi. Ni draw nzuri japo inachangamoto. Tukivuka hapo fainali tunabeba ki wepesi kabisa
 
Kwahyo wew unasahau vipigo vyote alivyokupa Real Madrid au umeaza kuangalia game jana mwaka 2012 Real Madrid alikupiga 3 mbili pale bernabeu Cristiano Ronaldo anafunga Goli dakika za lala salama au ulikua bado upo shule mwaka 2016 Real Madrid anakutoa semi final Kwa Goli moja la Gareth bale pale bernabeu wew ulikua uko wapi mwaka jana Tena kakutoa Nusu fainili Real Madrid na city ni Mbingu na ardhi kabisa wew kabishane na stoke city,Leeds united, Sunderland Ndio level zenu hizo

Anakumbuka alizopata matokeo tu vishabik vyakulisi hivyo
 
Mwaka 2019/2020 tulimpiga Madrid nje ndani 2-1 home ,tukaenda kwao tukampiga 2-1 , aggregate 4-2 ...

Madrid akatolewa kwenye mashindano round of 16 ...

Yaliyotokea mwaka Jana kumfunga Madrid 4-3 home ,tukaenda kwake 2-1 ,had extra time ilikuwa kma luck kwao ..

Nasema hivi kama mnaweza nyie mbwa njooni tukutane Tena CL ....ngonja kwanza tumtwange buyern munich harafu tunakuja kuwanyoosha mtaeleza zile goli mbili dakika ya mwisho mlizipataje ..View attachment 2555377
Endelea kuota..Madrid ndo kidume cha mbegu duniani sio kwa nyie nyumbu pekee.
 
Nasikia tukipoteza game ya leo wenzetu wanatangaza ubingwa rasmi. Next game wanakabidhiwa kombe uwanjani.
Sizani sababu hadi ligi iishe Kuna mechi 38 na tayari mechi 25 Real Madrid na Barcelona wamecheza Barc akishinda game mbili zijazo atakua na point 71 kwahyo ukipiga hesabu kwa mechi zitakazo Baki bado Real Madrid anaweza kufikisha point alizonazo Barcelona
 
Defense ya Liverpool ni mbovu sana, wakati frontline yao iko vizuri kiasi. Mechi itakua rahisi kama mtawashambulia ili watumie muda mwingi kujilinda badala ya kupanda juu.

Niliwaambia kuna vibonde wengi kwenye UEFA msimu huu. Ukikutana na team kama Chelsea au Inter Milan robo fainali, ni nafuu sana. Nadhani Man City na Bayern Munich pekee ndio wanaweza kuwatuliza.

Kwa hali ilivyo, naona Liverpool anakufa leo pia!
Niliwaambia hapa, Liverpool mtawapiga tena. Hawana timu kabisa. Sasa next round dhidi ya Chelsea, mmepata kibonde mwingine. Hii Chelsea ya sasa hivi hata ikikutana na Yanga, bado sio ya kuiamini.

Kwa kifupi, msimu huu wa champions League, mtakua na mechi ngumu moja tu, dhidi ya ManCity/Bayern Munich.

Mimi nawasubiri Camp nou leo, nataka tumalize kabisa ubishi kuhusu Laliga ili kila mmoja apambane na shughuli nyingine!

 
Leo game yetu na Barca. What will be our possible line up and tactic. Vyovyote vile itakavyokuwa tusikubali ku switch game plan yetu. Tulivyowachezea first leg na Leo iwe ivo ivo mipira mirefu pasi za juu sio fupi fupi tutapata matokeo
 
Back
Top Bottom