Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Pamoja na Kwamba tumepoteza cna wa kuwalaumu Los Blanco's wakuu tumekuwa na fatique za mechi. KB9 alikuwa hayupo mchezoni muda mwingi Vinni anaingia kwenye box KB9 yupo nyuma haonekani

Rodrigo anahitajika kupangwa kushoto na Vini awekwe Bench huko Asensio akianza kulia ili timu ikae sawa. Benzema hatakiwi kulaumiwa kabisa. mana ni mara chache mno hua anaharibu mipira. Ila huyo kijana wako Vini anatia aibu kabisa.
 
Back
Top Bottom