ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,675
Tunashinda hii gameMziki wa Barca mnene sioni tukitoka hapa.
Tunashinda hii gameMziki wa Barca mnene sioni tukitoka hapa.
Tunashinda hii game



. Tuendeleze harakati zetu za kumaliza msimu tuu ila la liga ni haiwezekani tena.Mje tuyamalize mezani. Huko uwanjani mtakuja kufa bure!Sisi na barca tukae tuelewane katupapasa kila uchwao. Tuendeleze harakati zetu za kumaliza msimu tuu ila la liga ni haiwezekani tena.
Msimu wa Jana ilikuwaje. Anyway hongereniMatch ya 3 mfululizo mnachezea kichapo kwa Barca...
Dogo kacheza vizuri mpe sifa yake LEFT WING tumefanya njia yetu Leo ARAUJO amekiona Cha moto SEMA dogo vini finishing haweziVini one game is a world class the next hajui kucheza mpira.
Pamoja na Kwamba tumepoteza cna wa kuwalaumu Los Blanco's wakuu tumekuwa na fatique za mechi. KB9 alikuwa hayupo mchezoni muda mwingi Vinni anaingia kwenye box KB9 yupo nyuma haonekani
Mje tuyamalize mezani. Huko uwanjani mtakuja kufa bure!
Dogo kacheza vizuri mpe sifa yake LEFT WING tumefanya njia yetu Leo ARAUJO amekiona Cha moto SEMA dogo vini finishing hawezi
Pamoja na Kwamba tumepoteza cna wa kuwalaumu Los Blanco's wakuu tumekuwa na fatique za mechi. KB9 alikuwa hayupo mchezoni muda mwingi Vinni anaingia kwenye box KB9 yupo nyuma haonekani
Wewe unajua mpira au Huwa unaanglia kwenye TelevisionVini one game is a world class the next hajui kucheza mpira.
Ndo maana don Carlo alifanya izo sub kama ulivyotalajia na taratibu tukaanza kupress. Nilitegemea atoke nacho aingie Tchou Ili full back namba 3 akae camavingaAgreed. Mbele kulikua hamna watu kabisa, Kronos and modric their time is up, hawana miguu tena ya kupanda na kushuka, Benz ashakua spana mkononi.
Ni muda Carlo aanze transition na kuwaanzisha tchou, camavinga na ceballos pamoja waanze kuzoea.
Wewe unajua mpira au Huwa unaanglia kwenye Television
Vini one game is a world class the next hajui kucheza mpira.