Sasa hapo man umevuka mpaka, jitahidi uwe unaangalia mpira kwa jicho la tatu., licha ya shida zake binafsi., Vinicius ni mchezaji mzuri sana., ni kwamba ana vitu vidogo dogo tu vinamharibia mpira wake., ila ninaamini atakuwa sawa tu hapo baadae.
Mchezaji mzuri sana? Alafu unasema vitu vidogo? vitu vidogo kwenye mipira 10 anaharibu 9 alafu unasema vitu vidogo?
