Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,363
Real Madrid XI: Courtois, Nacho, Rudiger, Militao, Carvajal, Kroos, Camavinga, Modric, Vinicius, Valverde, Benzema
Wala usiwe na shaka, ili uchukue Kombe ni lazima ukutane na mabingwa wenzio, so sie kwa kuwa tuna nia ya kuchukua kombe hatuhofii mpinzani tutakayepangwa nae.Nawataka nyie robo fainali.
Vijana wanacheza vizuri., acha tuone baadae itakuwa vp., sema ninashindwa kujua majukumu ya Camavinga na Kroos uwanjani., ama wanabadilishana majukumu!?Leo unapigwa mpira safi hauchoshi kutazama
Vijana wanacheza vizuri., acha tuone baadae itakuwa vp., sema ninashindwa kujua majukumu ya Camavinga na Kroos uwanjani., ama wanabadilishana majukumu!?


Ha ha ha ...majeruhi yamemcostNdio huyo benzema mliyemnywesha alkasusu usiku kucha?
Mbona hana chochote sasa
Mnadhani kuscore rahisi eeh?

Ndio huyo huyo.,Ndio huyo benzema mliyemnywesha alkasusu usiku kucha?
Mbona hana chochote sasa
Mnadhani kuscore rahisi eeh?