Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Saaaf,nan na nan wamefunga
Benzema zote 2
Saaaf,nan na nan wamefunga
Toni Kross ame announce Ku retire mwisho wa msimu huu
Angetupa burudani japo kwa mwaka mmoja zaidiJamaa hatakaji mambo mengi anawaachia vijana nao wapambane
Ndugu wazee, wakati tukirejea kwenye msimu wa mpira baada ya World Cup naomba mnisaidie link ya kutazama mpira online. Ile link ya Domain Seized by Law Enforcement tuliyokuwa tunatazamia mpira imefungiwa rasmi na magaidi. Natanguliza shukrani.Ndugu wazee, wakati tukirejea kwenye msimu wa mpira baada ya World Cup naomba mnisaidie link ya kutazama mpira online. Ile link ya Domain Seized by Law Enforcement tuliyokuwa tunatazamia mpira imefungiwa rasmi na magaidi. Natanguliza shukrani.
View attachment 2451429
download yacine tvNdugu wazee, wakati tukirejea kwenye msimu wa mpira baada ya World Cup naomba mnisaidie link ya kutazama mpira online. Ile link ya Domain Seized by Law Enforcement tuliyokuwa tunatazamia mpira imefungiwa rasmi na magaidi. Natanguliza shukrani.
Nahitaji ya kuangalia kwenye kompiuta mkuudownload yacine tv
Zile link zetu zote zimefungiwa, ila ninaamini tutapata mbadala sio muda mrefu sana.,Ndugu wazee, wakati tukirejea kwenye msimu wa mpira baada ya World Cup naomba mnisaidie link ya kutazama mpira online. Ile link ya Domain Seized by Law Enforcement tuliyokuwa tunatazamia mpira imefungiwa rasmi na magaidi. Natanguliza shukrani.
View attachment 2451429
Mbona hii taarifa sijaiona popote Mkuu., ila acha niendelee kufuatilia.Toni Kross ame announce Ku retire mwisho wa msimu huu
Mimi nilifanikiwa kutazama, ila kutokana na uchovu niliokuwa nao sikuweza kuingia humu.,Sikufanikiwa kutazama game hizi game za Friday night changamoto kidogo
Timu haikucheza friendly matches kipindi cha worldcupMimi nilifanikiwa kutazama, ila kutokana na uchovu niliokuwa nao sikuweza kuingia humu.,
Team haikuwa na muunganiko tuliouzoea sema ni kawaida haswa kwenye nyakati kama hizi., kidogo kidogo team itaimarika
Jana Courtois ndio alituweka kwenye mchezo.,
Mimi nilifanikiwa kutazama, ila kutokana na uchovu niliokuwa nao sikuweza kuingia humu.,
Team haikuwa na muunganiko tuliouzoea sema ni kawaida haswa kwenye nyakati kama hizi., kidogo kidogo team itaimarika
Jana Courtois ndio alituweka kwenye mchezo.,
Catalan's wamejikwaa wenyewe! Hao jamaa wanatia hurumaSawa tusubiri baada ya michezo 2 au mitatu
Catalan's wamejikwaa wenyewe! Hao jamaa wanatia huruma
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Yes, Catalans bado tunajitafuta. Ila huyo anaesema tunatia huruma, akaangalie msimamo wa ligi, alafu aje atuambie, kama anaeongoza ligi anatia huruma, vipi walioko chini yake?Wanajitafuta bado wanaitaji msimu 1 zaidi kutengeneza timu
Kweli Mkuu, ila nina wasi wasi kama hali itaweza kutengemaa, kwanza tuna game nyingi kweli kweli, kuanzia sasa kila baada ya siku tatu tuna game, vijana wanahitajika kuwa kwenye kiwango bora sana kwa upande wa fitness ili tuweze kuvuka salama.Sawa tusubiri baada ya michezo 2 au mitatu