Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Tumejikuta tunalipa pesa nyingi kutoka na team kadhaa kuweka mpunga mrefu pia, sema tu Dogo na Familia yake waliichagua Real Madrid., bado ni mdogo ila ni matumaini yangu kuwa atakuwa bora hapo baadae

Sema perez tangu aikose talent ya neymar hataki tena kufanya makosa kama yale.

Sema ni deal nzuri ukimpata kijana akajituma kwa pesa uliyotoa ni bora kuliko ununue striker wa 200 au 100 tena miaka 25+.

Nacho kipenda Madrid sahivi ni kama vile tunaelekea kwenye kizazi kijacho baada ya miaka 3 tutakua na timu ngumu ya ushindani. Kupitia usajili wa vijana
 
Sema perez tangu aikose talent ya neymar hataki tena kufanya makosa kama yale.

Sema ni deal nzuri ukimpata kijana akajituma kwa pesa uliyotoa ni bora kuliko ununue striker wa 200 au 100 tena miaka 25+.

Nacho kipenda Madrid sahivi ni kama vile tunaelekea kwenye kizazi kijacho baada ya miaka 3 tutakua na timu ngumu ya ushindani. Kupitia usajili wa vijana
Ule Usajili wa Neymar kama unavyoona wa Haaland., tamaa za Wazazi na wakala wake ndio uliotutoa kwenye mchezo., Barca walitumia pesa sana a baadae Dogo akawasaliti, kama alikuwa na mapenzi mema na club asingeweza kuwafanyia ule uhuni.

Juni Calafat anafanya kazi nzuri sana kiukweli, Barcelona kama kawaida yao walitaka kutuvurugia ila jamaa akawazima.,
 
Ninaona kwasasa wamehamia kumpigia chapuo yule CB wa Croatia.,

Jovicevic: Gvardiol will cost 100 million euros, I'd like to see him at Real Madrid
The Shakhtar Donetsk manager believes his compatriot could become the world's most expensive defender
 
Confirmed: Cristiano Ronaldo training at Valdebebas. @FabrizioRomano

Cristiano Ronaldo’s presence at Valdebebas today has surprised many. @marca

| Cristiano Ronaldo would love to return to Real Madrid and would even do so on a ‘minimal’ salary. But, Real Madrid highlight they have Vinicius and Benzema whilst Cristiano’s age being the main reason it won’t happen. @GoalItalia

️Florentino Perez told Cristiano Ronaldo that Valdebebas is his home and that he can train there whenever he wants with all facilities guaranteed. @diarioas
 
Official Announcement: Endrick

Real Madrid C. F., Sociedade Esportiva Palmeiras, and Endrick and his family have reached an agreement that allows the player to join Real Madrid when he reaches legal age in July 2024.

Until then, Endrick will continue training with S. E. Palmeiras. The player will travel to Madrid in the upcoming days to visit our club's facilities
 
Mtoto anarudi nyumbani
IMG_20221216_143948.jpg
 
Wakuu, huyu Enzo Fernández anatufaa sana pale kati, ana utulivu sana, shida ni ile tu bei yake,
Acha tuone kama club itabadilisha maamuzi yake juu ya Bellingham, ama laa.
 
Back
Top Bottom