ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,675
Tupo dimbani na hawa Vilareal
Yeah man, vijana wameenda mapumziko kwenda kujitafakari, kiukweli team bado haina muunganiko, haswa pale mbele, acha tuone kipindi cha pili labda vijana watabadilika.Tupo dimbani na hawa Vilareal
Ni kweli man, tunahitaji mabadiliko haswa upande wa beki ya kulia na winga wa kulia., kwa mipira aliyopewa Militao angekuwa Dani ana Lucas tungepata hata goli.,Kipindi hiki cha kwanza tumezidiwa mbinu, nguvu, kasi na umiliki, mabadiliko yasipofanyika kipindi cha pili tunafungwa.
Yule inabidi asirudi kabisa kipindi cha pili. Hata Mendy anazingua, anapokonya mpira halafu anauangalia tu hajui afanye nini. Pia Fullbacks wote hawasogei juu sijui kwa niniNi kweli man, tunahitaji mabadiliko haswa upande wa beki ya kulia na winga wa kulia., kwa mipira aliyopewa Militao angekuwa Dani ana Lucas tungepata hata goli.,
Mendy sijui anakosa kujiamini ama ni nini!? Siku hizi simuelewi kabisa.,Yule inabidi asirudi kabisa kipindi cha pili. Hata Mendy anazingua, anapokonya mpira halafu anauangalia tu hajui afanye nini. Pia Fullbacks wote hawasogei juu sijui kwa nini
Hii penalty naona tumebebwa tu, marudio yote sijaona beki wa villareal akigusa ule mpiraVillarreal 1-1 Real Madrid
Huyu Dogo kuna muda anazingua sio kawaida, hii game tunalalaVini chenga nyingi msaada 0
Msaada wake ni mdogo kuliko faida.Huyu Dogo kuna muda anazingua sio kawaida, hii game tunalala
Ubingwa umeanza kuwa mgumuHuyu Dogo kuna muda anazingua sio kawaida, hii game tunalala