Mwanakwetuuu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2022
- 1,011
- 2,288
Modric amechoka sana




Jana sikuweza kujua roles ya Tchouaméni na Kroos uwanjani ilikuwa ni zipi., yaani walikuwa muda mwingi wanacheza upande mmoja, Modrić na mwenzie Valverde haki kadhalika, kwa jinsi team ilivyokuwa inacheza utadhani hawajahi kucheza pamoja., kuna makosa Ancelotti aliyaona ninadhani atayafanyia kazi kwenye game zinazofuata.
Kwenye Kombe la Mfalme tunakutana nao tena., 🤣🤣🤣Ndyo naamka sshv baada ya kipigo cha jana kutoka kwa manyambizi![]()
Ile break ya worldcup imetugharimuHii game tulikosa ubunifu kati kati,
Jana sikuweza kujua roles ya Tchouaméni na Kroos uwanjani ilikuwa ni zipi., yaani walikuwa muda mwingi wanacheza upande mmoja, Modrić na mwenzie Valverde haki kadhalika, kwa jinsi team ilivyokuwa inacheza utadhani hawajahi kucheza pamoja., kuna makosa Ancelotti aliyaona ninadhani atayafanyia kazi kwenye game zinazofuata.
Hilo lilitegemewa tokea awali, na hata Ancelotti aliwahi kusema kuwa itatuletea shida, ila aliahidi kutumia wachezaji watakaobaki, ila cha kushangaza aliamua kuwatumia Modrić na Tchouaméni, wakati ana Camavinga na Rodrygo ambao ni more fresher kuliko hao,Ile break ya worldcup imetugharimu
Valencia wanalinda vizur., ila na sisi tunashindwa kutengeneza mashambulizi mazuri dhidi yao.,Hii game ngumu
Wadau gemu imeonyeshwa na dstv?Valencia wanalinda vizur., ila na sisi tunashindwa kutengeneza mashambulizi mazuri dhidi yao.,
Tumepata nafasi dakika za mwisho sema Vinicius akazingua..