Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hii game tulikosa ubunifu kati kati,
Jana sikuweza kujua roles ya Tchouaméni na Kroos uwanjani ilikuwa ni zipi., yaani walikuwa muda mwingi wanacheza upande mmoja, Modrić na mwenzie Valverde haki kadhalika, kwa jinsi team ilivyokuwa inacheza utadhani hawajahi kucheza pamoja., kuna makosa Ancelotti aliyaona ninadhani atayafanyia kazi kwenye game zinazofuata.
 
Hii game tulikosa ubunifu kati kati,
Jana sikuweza kujua roles ya Tchouaméni na Kroos uwanjani ilikuwa ni zipi., yaani walikuwa muda mwingi wanacheza upande mmoja, Modrić na mwenzie Valverde haki kadhalika, kwa jinsi team ilivyokuwa inacheza utadhani hawajahi kucheza pamoja., kuna makosa Ancelotti aliyaona ninadhani atayafanyia kazi kwenye game zinazofuata.
Ile break ya worldcup imetugharimu
 
Ile break ya worldcup imetugharimu
Hilo lilitegemewa tokea awali, na hata Ancelotti aliwahi kusema kuwa itatuletea shida, ila aliahidi kutumia wachezaji watakaobaki, ila cha kushangaza aliamua kuwatumia Modrić na Tchouaméni, wakati ana Camavinga na Rodrygo ambao ni more fresher kuliko hao,
Hata vijana walipoingia mchezo ulibadilika, sema ndio hivyo Ancelotti huwa ni mgumu sana kubadilika.
 
Back
Top Bottom