Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,078
Leo tunashinda tukijiandaa kumalizia game ya away kwenda world cup
Defense yetu bado inamatatizo Sana,Sijui ni lini tutapata clean sheet.,

Kwa kweli yaanDefense yetu bado inamatatizo Sana,
hata kipa tulienae kaflop Sana recently![]()
Hii hali inekara sana, kwa kikosi tulichonacho bado sanaDefense yetu bado inamatatizo Sana,
hata kipa tulienae kaflop Sana recently![]()
Bado sana kivip hko kikosi wengi wao ndyo wamebeba uefa,la Liga na wao wanachoka jamanHii hali inekara sana, kwa kikosi tulichonacho bado sana
Kipa kwasasa ninadhani ndio tatizo, kuanzia arejee kikosini baada ya yale majeraha bado hajafika kwenye kiwango chake, kuna goli huwezi kumlaumu, ila kuna goli unaona kabisa alikuwa na uwezo wa kuzuia., acha waende kwanza World Cup, labda wakirudi watapambana, kwasababu kwasasa kila mchezaji alikuwa anawaza kutokuumia ili aende World cupDefense yetu bado inamatatizo Sana,
hata kipa tulienae kaflop Sana recently![]()