Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Defense yetu bado inamatatizo Sana,
hata kipa tulienae kaflop Sana recently
Kipa kwasasa ninadhani ndio tatizo, kuanzia arejee kikosini baada ya yale majeraha bado hajafika kwenye kiwango chake, kuna goli huwezi kumlaumu, ila kuna goli unaona kabisa alikuwa na uwezo wa kuzuia., acha waende kwanza World Cup, labda wakirudi watapambana, kwasababu kwasasa kila mchezaji alikuwa anawaza kutokuumia ili aende World cup
 
Back
Top Bottom