Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,363
Luka Modric ameturudisha mchezoni na goli la penalty., makosa ya mapema yaliwapatia goli la uongozi Rayo Vallecano
Ule mpira usingegusa mkono wa carvajal ulikua unaelekea kwenye six box karibu kabisa na goli. Hapo ball to hand haitumiki ukishika mazingira kama hayo lazima refa afunikeHii sheria ya handball inaendelea kutuumiza., ndio mpira, acha tukajipange upya.
Hizi sheria kwasasa zina utata sana, hebu fikiria unaweza kuruka ama kupiga mpira bila kurusha mikono!? Hiyo balance utaipata wapi!?Ule mpira usingegusa mkono wa carvajal ulikua unaelekea kwenye six box karibu kabisa na goli. Hapo ball to hand haitumiki ukishika mazingira kama hayo lazima refa afunike
Kama kawaida yetu, tunapoteza points kwa hizi team ndogo., sijui shida ipo wapi.Aiseee
"Ni sawa na demu bila tako" in Carrasco putin voice heheheheReal Madrid bila ya Benzema ni sawa na West ham tu