Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,516
- 5,418
Namkubali sana marcelo ila kwa staili ya uchezaji wake na Mendy bora marcelo tumpe heshima aende free. Mendy ni kijana ana nguvu ya kupanda na kushuka. Uwezo wa Mendy naamini unaoneka no DOUBT.Marcelo sioni tatizo akiendelea kubaki Madrid.
Ule upande wa kushoto kuna beki gani wa kupanda na kushuka anamzidi!
Ndio yule Mendy? Aaaah hata simkubali kivile...
Hata Isco mbona anapiga kiungo fresh tu.
Hapo wa kusepa ni Bale tu. Wengine wabaki.
Kwa suala la ISCO ni mzuri akiwa na mpira ngojea timu iwe inashambuliwa asee jamaa hakabi aseee hawezi kucheza defensive. Nae aondolewe free akapate timu anayoona itamfaa. Hata barca wanamtaka ISCO hata leo aende hata huko sawa tuu.
Bale na Harzard nao watupishe aseee. Luka jovic na Mariano wasisahaulike wauze tuu

