Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,562
Imekuwaje wameongezewa dk 9?
Mlioona live nipeni muongozo
Imekuwaje wameongezewa dk 9?
Wametolewa na E/FRANKFUT

Unaniangusha rafiki, michuano ya EUROPA & UEFA ikishafika hatua ya 16 bora matokeo yoyote yale yatakayopatikana eidha kushinda au kufungwa - kutolewa au kufuzu huwa ni aggregate, fainali ndo haina aggregate sababu ni mechi moja tuMadrid kashinda kwa aggregate
Team fitness ni sehemu ya ubora wa timu.. Kama huwezi kuhimili mchezo kwa muda wote wa mchezo basi huna ubora... Sioni bahati ni ipi hapa...Madrid mumepita kwa bahati sana, tena baada ya Chelsea kuchoka kwa wakati wanaupiga mwingi.
Goli la ushindi limepatikana kutokana na uzembe uliosababishwa na uchovu.
Beki wa Chelsea amempasia mwenzio mpira ila amenyang'anywa miguuni mwake hata hajafanya juhudi za kurejesha. Alipopasiwa Vinijr alikuwa ana nafasi huku mabeki wakikimbilia nyuma badala ya kumkaba, hapo hapo Benzema akawa ameachwa akatanua nafasi nyuma kidogo na Vinijr akamuona na kumpa mpira kwa juu, kazi ikawa imeisha.
Naungana na Ancelloti amesema uchovu wa Chelsea umempatia ushindi.
Goli lilipatikana kwa kumgonga mtu kwenye tumbo pasina yeye kujua kinachoendelea? au mchezaji wa timu pinzani alijifunga? kuita ushindi wa sweat, blood and tears wa "bahati sana" kwa maoni yangu si sawa - naheshimu maoni yakoMadrid mumepita kwa bahati sana, tena baada ya Chelsea kuchoka kwa wakati wanaupiga mwingi.
Goli la ushindi limepatikana kutokana na uzembe uliosababishwa na uchovu.
Beki wa Chelsea amempasia mwenzio mpira ila amenyang'anywa miguuni mwake hata hajafanya juhudi za kurejesha. Alipopasiwa Vinijr alikuwa ana nafasi huku mabeki wakikimbilia nyuma badala ya kumkaba, hapo hapo Benzema akawa ameachwa akatanua nafasi nyuma kidogo na Vinijr akamuona na kumpa mpira kwa juu, kazi ikawa imeisha.
Naungana na Ancelloti amesema uchovu wa Chelsea umempatia ushindi.
majeruhi na VAR ndio iliyofanya kuwa 9 minsImekuwaje wameongezewa dk 9?
Mlioona live nipeni muongozo
Duh! 😳 Mkuu miaka hii bado tu tunaamini Madrid anapita kwa bahati 🤔Madrid mumepita kwa bahati sana, tena baada ya Chelsea kuchoka kwa wakati wanaupiga mwingi.
Goli la ushindi limepatikana kutokana na uzembe uliosababishwa na uchovu.
Beki wa Chelsea amempasia mwenzio mpira ila amenyang'anywa miguuni mwake hata hajafanya juhudi za kurejesha. Alipopasiwa Vinijr alikuwa ana nafasi huku mabeki wakikimbilia nyuma badala ya kumkaba, hapo hapo Benzema akawa ameachwa akatanua nafasi nyuma kidogo na Vinijr akamuona na kumpa mpira kwa juu, kazi ikawa imeisha.
Naungana na Ancelloti amesema uchovu wa Chelsea umempatia ushindi.
Antonio Cassano: "Real Madrid played badly against Chelsea and PSG, he [Ancelotti] was really, really lucky. But luck will end sooner or later."Duh!Mkuu miaka hii bado tu tunaamini Madrid anapita kwa bahati
![]()
Duh!Mkuu miaka hii bado tu tunaamini Madrid anapita kwa bahati
![]()
Tangu Chelsea alivyofight hadi akatoka kwa aggregate, nimeona hii sheria bora ifanyiwe marekebisho/kufutwa na iwe kama ifuatavyo:Unaniangusha rafiki, michuano ya EUROPA & UEFA ikishafika hatua ya 16 bora matokeo yoyote yale yatakayopatikana eidha kushinda au kufungwa - kutolewa au kufuzu huwa ni aggregate, fainali ndo haina aggregate sababu ni mechi moja tu
CAF Champions League zamani ndo walikuwa wanacheza mechi mbili hadi fainali "aggregate", walifuta huo utaratibu miaka michache iliyopita na sasa fainali ni mechi moja tu
Aggregate: (Sports) The total score in a set of games between teams or competitors, usually the combination of the home and away scores
Sawa mkuu, nilihamaki sana baada ya kuona hizo dk nyingi za nyongeza zilizowapatia Barca magoli 2majeruhi na VAR ndio iliyofanya kuwa 9 mins


leo tumelala tumeacha mlango waziKalale wewe. Chelsea ndio mdudu gani?Mnakwenda kujiaibisha UCL bora chelsea angepita tuu
And the comeback is completeJumba limeungua, defense ilijisahau sana, RB ya uhakika hatuna na kituko kwamba Carvajal anacheza LB. Kipindi cha pili Sevilla wanakuja kujilinda lakini tusijisahau kushambulia tu tunatakiwa tuwe makini na counter. Lakini kuna kitu kinaniambia matokeo haya sio ya dakika 90. Tusubiri tuone
Kaa kwa kutulia ,umeona comeback hiyoMnakwenda kujiaibisha UCL bora chelsea angepita tuu