Mshauri arudie kupiga ramliBayern kauchana![]()

Hii timu sioni ikifika mbali ,hata mkifika final mnaweza chapika kirahisi mnoo .....!
Japo sijapenda approach yetu kwenye mechi ya leo, alichofanya leo King Carlo ndo kilekile alichokifanya kwenye mechi ya kwanza dhidi ya PSG, na bora hata ile kwa sababu tulikuwa AWAY kujihami ni muhimu - dakika 90 tulikuwa na attempt 'on target' moja tu, leo tulikuwa HOME sikuona sababu ya kutojiamini, ukizingatia hatma ya kufuzu kwa 75% tulikuwa nayo sisi - tulishinda AWAY kwa wastani mzuri wa magoli, yote kwa yote tumefuzu, hongera kwa Madridista wote
I wish City akwame kwa ATM huyo ni my wetu hua tunajipigiaYaah aliingia na mbinu ile ile ambayo Chelsea na kocha wake walikua wameisha ipigia msuli. Wametupa wakati mgumu sana.
Kikubwa chama limesonga ata tukifungwa mbele ya safari ni sawa. Ata city atupigenje ndani ni sawa. Ila sio dharau na midomo ya Chelsea
Semi final sio mbali!? Laliga tuna ongoza unataka umbali upi?Hii timu sioni ikifika mbali ,hata mkifika final mnaweza chapika kirahisi mnoo .....!
Ngoja wakafie kwa ATM, wanadhani hako kagoli kamoja ni mtaji😂Semi final sio mbali!? Laliga tuna ongoza unataka umbali upi?
Ule mfumo wa Simeon kupaki bus ,watu 10 wanadefend ndani ya box ,harafu wapige come back kwa cityNgoja wakafie kwa ATM, wanadhani hako kagoli kamoja ni mtaji![]()



Muulize Munich atakwambia siri ya kupaki ABOOD😂, this ia football bwana.Ule mfumo wa Simeon kupaki bus ,watu 10 wanadefend ndani ya box ,harafu wapige come back kwa city
Wewe unaota ....Bora wangekuwa wanafunguka na kucheza ....
We won the game, but we lost the battle.FUTA hii utopolo ..sisi ni mabingwa watetezi na ushindi bado upon mikononi mwetu mkuu.
Tangu abebe ndoo mwaka juzi naona amekuwa dhaifu ingawa amefika huku juuBayern kauchana![]()
Sure, na hilo ndo la msingi, CITY wana mashabiki wachache sana, na uzuri wengi wao siyo mavuvuzelaYaah aliingia na mbinu ile ile ambayo Chelsea na kocha wake walikua wameisha ipigia msuli. Wametupa wakati mgumu sana.
Kikubwa chama limesonga ata tukifungwa mbele ya safari ni sawa. Ata city atupigenje ndani ni sawa. Ila sio dharau na midomo ya Chelsea

Waliwachukulia poa YELLOW SUBMARINETangu abebe ndoo mwaka juzi naona amekuwa dhaifu ingawa amefika huku juu
Watu kama hawa achana nao tu. Mtu anakwambia hufiki mbali wakati upo nusu fainaliSemi final sio mbali!? Laliga tuna ongoza unataka umbali upi?




. Unahaja gani ya kubishana nae.Kikubwa chama limesonga ata tukifungwa mbele ya safari ni sawa. Ata city atupigenje ndani ni sawa. Ila sio dharau na midomo ya Chelsea
Madrid mumepita kwa bahati sana, tena baada ya Chelsea kuchoka kwa wakati wanaupiga mwingi.
Goli la ushindi limepatikana kutokana na uzembe uliosababishwa na uchovu.
Beki wa Chelsea amempasia mwenzio mpira ila amenyang'anywa miguuni mwake hata hajafanya juhudi za kurejesha. Alipopasiwa Vinijr alikuwa ana nafasi huku mabeki wakikimbilia nyuma badala ya kumkaba, hapo hapo Benzema akawa ameachwa akatanua nafasi nyuma kidogo na Vinijr akamuona na kumpa mpira kwa juu, kazi ikawa imeisha.
Naungana na Ancelloti amesema uchovu wa Chelsea umempatia ushindi.
Madrid kashinda kwa aggregateSasa mbona unaelezea mechi ambayo kila mtu aliona. Afu nikumbushe tuu chelsea ndio aliyeshinda sio Madrid.
Ayo ya bahati utajua wewe. Mpira ni mchezo wa makosa hakuna goli linalofungwa pasipo makosa.
Mengine utajua wewe kikubwa chama liko nusu fainali ya 10 ndani ya miaka 12 hizo bahati utajua wewe