makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,754
- 103,692
Wanangu wazee wa king kikii, kitambaa cheupe naona ustadh benzema kaishafanya yake wakati wa kufuturu..
Mnakwenda kujiaibisha UCL bora chelsea angepita tuu
Acha kufananisha Madrid na uchafuu kuwa na adabu ww cheltakoMnakwenda kujiaibisha UCL bora chelsea angepita tuu
HahahaWanangu wazee wa king kikii, kitambaa cheupe naona ustadh benzema kaishafanya yake wakati wa kufuturu..


Ukiwa pale kwenye dimba la Santiago mpira tunasema hua ni dakika 90.
Wakati timu pinzani zinamaliza mechi na pumzi kukata, Madrid hua ndio kumekucha na mpira unapigwa mwingi sana.
Tumebakiza mechi 6 zenye points 18.
Tunahitaji point 9 kutangazwa mabingwa wapya wa Liga.
Tangu Chelsea alivyofight hadi akatoka kwa aggregate, nimeona hii sheria bora ifanyiwe marekebisho/kufutwa na iwe kama ifuatavyo:
Timu ikishinda H halafu ikashindwa A, waende Extra Time, matokeo yakibaki vilevile(bila kujali magoli) Penati zipigwe. Mfano ilivyokuwa kwa Chelsea iliposhinda A na R. Madrid ikashinda A.
Endapo timu moja ikashinda H na A au ikadroo A(kama M City vs ATM) hapo inakuwa imeshinda kiroho safi na kinyume chake.
Zikidroo H na A, ziende extra time, matokeo yakibaki yaleyale(droo), penati ziamue mshindi.
Hapa mnaonaje wakuu? ili tuache kuzingatia magoli(aggregate)
Tunashughulikiwa leo huko na Sevilla...Miltao ni uchochoro leo hapa


Wanangu wazee wa king kikii, kitambaa cheupe naona ustadh benzema kaishafanya yake wakati wa kufuturu..

Siwezi mlaumu don Carlo kwa namna yoyote ile. Kuelekea mwisho wa msimu timu yetu huwa inafanya rotation moja kali sana ya wachezaji kuanzia defenders, goalkeeper, milldfielders na last thirds. Ila sasa msimu huu rotation haeleweki. Siri ya 3 UCL back to back ilikuwa ni rotation nzuri ilifanyika kipindi kile cha don carlo na kipindi cha zizou. Ili tusichoke na kupoteza focus ya la liga tittle na Mwali wetu UCL rotation inahitajika haraka sana kwenye izi mechi za la liga
well said bro. Sasa kwa squad hii nyembamba tuta loose focus kwenye title zoote tulizopo so far.Mkuu Rotation inataka squad imra, Hiyo Real unayoizungumzia ilikua na squad pana sana, ya sasa ni majanga matupu, acha wazee wafie uwanjani tu.
Football ni mchezo katiri sana
Unamaanisha katika mechi nne zilizobaki (34/38) tunatakiwa tushinde mechi tatu mfululizo na tupoteze moja tu?Sasa Real Madrid inahitaji point 7 tu kuchukua ubingwa, na hii inawezekana kutokea kwenye matchday 35 Wanda Metropolitan stadium, against Atletico. Yaani ikitokea hii ubingwa wa msimu huu utakuwa mtamu sana. Yaani unampiga Atleti na kutangaza ubingwa 🏆
Hakuna ugumu wowote, tulianza msimu vibaya ila sasa hivi tumekaa sawa atakae katiza ni kipigo tuUnamaanisha katika mechi nne zilizobaki (34/38) tunatakiwa tushinde mechi tatu mfululizo na tupoteze moja tu?
Duh... Kazi ipo bado kumbe.
Hii ni Ligi ya wapi unaangalia?Unamaanisha katika mechi nne zilizobaki (34/38) tunatakiwa tushinde mechi tatu mfululizo na tupoteze moja tu?
Duh... Kazi ipo bado kumbe.