Nadhani jasho tunajitoa wenyewe. Makosa mengi sana tunafanya defensively. Marking inakua mbovu.Osasuna wametutoa jasho lakini mwisho wamekubali
Tunaitaji 1 win na at least sare 1 kwa mechi 5 zilizobaki. Kama wanaotufata hawatapoteza.
Tuna injuries kibao za mabeki jana Alaba na Nacho wameumia hali sio shwari kabisaNadhani jasho tunajitoa wenyewe. Makosa mengi sana tunafanya defensively. Marking inakua mbovu.
Osasuna wametutoa jasho lakini mwisho wamekubali
Huyu dogo ifike mahali waachane nae tu. Anakua pasua kichwa sasaView attachment 2196355
Duuh aende zakeTuachane nae.
Tutafute mabeki.
RB na CB.
Kabisa, mbele pale tuna madogo wazuri tu. Muda unavyokwenda wanazidi kupata uzoefu.. Japo najua Mbape angekuja ni sehemu ya biashara kwa timu especially kwenye mauzo ya jezi.Tuachane nae.
Tutafute mabeki.
RB na CB.
Halaand yupo idle tuhamie hukoNaunga mkono abaki hapo hapo psg yeye sio madrid. Tumwamini rodrygo tunaweza pea mleta diaz kutoka milani akaongeza nguvu.
Au tutafute winga mwingine tumtengeneze
Rodrygo ni mchezaji mzuri, anahitaji kuaminiwa tu.Naunga mkono abaki hapo hapo psg yeye sio madrid. Tumwamini rodrygo tunaweza pea mleta diaz kutoka milani akaongeza nguvu.
Au tutafute winga mwingine tumtengeneze
Halaand yupo idle tuhamie huko
Madrid hatujazoea kuendeshwa na wachezaji. PSG wanamnyenyekea hadi kawa spoiled. Sijawahi kuona timu inakomaa na mchezaji hadi inampa blank check, ndio nimeona kwa hawa jamaa. Alafu wanampa uhuru wa kuamua anachotaka. Kwasasa ashaingia tamaa ya pesa kuliko malengo.Naunga mkono abaki hapo hapo psg yeye sio madrid. Tumwamini rodrygo tunaweza pea mleta diaz kutoka milani akaongeza nguvu.
Au tutafute winga mwingine tumtengeneze
Tuachane nae.
Tutafute mabeki.
RB na CB.
Madrid hatujazoea kuendeshwa na wachezaji. PSG wanamnyenyekea hadi kawa spoiled. Sijawahi kuona timu inakomaa na mchezaji hadi inampa blank check, ndio nimeona kwa hawa jamaa. Alafu wanampa uhuru wa kuamua anachotaka. Kwasasa ashaingia tamaa ya pesa kuliko malengo.
Abaki huko huko aendelee kubeba vikombe vya ligi na baada ya seasons kazaa atakua kasahaulika kama Neymar tu.
Kabisa. Poor management ya team. Ndio mana wanazoa zoa tu.PSG ni washamba tu, Na ndio mana wanapigwa pesa sana na wachezaji wa mchongo