ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,286
- 31,675
Kajileta mwenyeweChelsea tu anaweza kukuchapa nje ndani kama mbwa Koko![]()
Kajileta mwenyeweChelsea tu anaweza kukuchapa nje ndani kama mbwa Koko![]()
Enheeeeee....Unajua wazee kwa kushinda dhidi ya PSG ni kuwa tumepandisha morali sana ya kikosi na kwa mtindo huu atayekuja mbeleni tunategemea tutafanya vyema.
Huwa hatuna hulka yakutolewa mara mbili na timu hiyo hiyo..Enheeeeee....
Sawa sisi the blues tumefika... Tunaanza kuwauwa Santiago Bernabeu
Hata sisi hatujawahi kutolewa na Real madrid kwenye mashindano official.Huwa hatuna hulka yakutolewa mara mbili na timu hiyo hiyo..
Hatuwezi tolewa watu wenye vikwazoEnheeeeee....
Sawa sisi the blues tumefika... Tunaanza kuwauwa Santiago Bernabeu
Sasa hivi sisi wazeee wa Kremlin hatuna utani na wazungu wa Ulaya.Hatuwezi tolewa watu wenye vikwazo
Angalia vitu hivi mdogo wangu...usikaze ubongo sana,nenda kwa takwimuHata sisi hatujawahi kutolewa na Real madrid kwenye mashindano official.
Hizo record uchwara weka pembeni.
Tutakutana Uwanjani.
Usikariri kwenye sokaHuwa hatuna hulka yakutolewa mara mbili na timu hiyo hiyo..
Hayo makombe ya mbuzi watu wanapunzika ndio unayaleta hapa.?Angalia vitu hivi mdogo wangu...usikaze ubongo sana,nenda kwa takwimuView attachment 2155448
Hyo ilikuwa friendly international games kabla msimu kuanza unataka kusema ilikuwa uefaAngalia vitu hivi mdogo wangu...usikaze ubongo sana,nenda kwa takwimuView attachment 2155448

Endelea kubishana na takwimu mdogo wangu..ndo utajua kwa nn tuna ndoo 13 na mara zote mlikuwa mnasema "sa hv madrid anapigwa hachomoki"...Hyo ilikuwa friendly international games kabla msimu kuanza unataka kusema ilikuwa uefa![]()
Safari yako mwisho hapo mmekutana na watu serious wazee wa kazi tofauti na PSG yenye utoto mwingiEndelea kubishana na takwimu mdogo wangu..ndo utajua kwa nn tuna ndoo 13 na mara zote mlikuwa mnasema "sa hv madrid anapigwa hachomoki"...
Tupo hapa...uje utupe mkono wa pongeziSafari yako mwisho hapo mmekutana na watu serious wazee wa kazi tofauti na PSG yenye utoto mwingi
Sasa takwimu z nn wkt mashindano sio official hayo international games hizoEndelea kubishana na takwimu mdogo wangu..ndo utajua kwa nn tuna ndoo 13 na mara zote mlikuwa mnasema "sa hv madrid anapigwa hachomoki"...


uyo zidane tulimla kochwa msimu ulopita. Kwenye H2H hujashinda game hata moja huoni kaama wewe ni underdog?Kubishana na Chelsea ni kupoteza mda tu , ka team kama zidiwa hata achievements za Zidane peke yake
Hao jamaa nilishaacha kuwajibu siku nyingi, sie kwanza tumalizane na Barcelona kesho kisha ndio tuwaanze kuwafikiria wao.,Kubishana na Chelsea ni kupoteza mda tu , ka team kama zidiwa hata achievements za Zidane peke yake