pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,057
- 3,329
Si ndo hapo man...katoka nae juu huko anafika maeneo ya hatar anamuacha....huyu Nacho me sijawah mkubali hata kidgo..ni mchezaji wa kawaida sanaaaaaaDembele anamfanya anachotaka, hata goli la kwanza limetokea upande wake, nimeshangaa badala aende kumbughudhi Dembele asipige mpira yeye akamwachia nafasi.,