Zinanikera sana back pass.Chelsea wanakaba Sana eneo lao na pembeni mwa wings zenu ndio maana mnaonekana useless na kupiga back pass nyingi
Pasi za nyuma, zinafanya tuwakaribishe sana Chelsea.Chelsea wanakaba Sana eneo lao na pembeni mwa wings zenu ndio maana mnaonekana useless na kupiga back pass nyingi
Ha ha ha eti ana bahatiZidane ikibidi pia atimuliwe huu msimu mambo ya kuangalia kila mechi roho mkononi hata iwe ndogo sio kabisa ingawa huyu fala ana bahati hatari.
Anaisaidia timu yake ya zamani.
🤣🤣🤣🤣 Unaanza kuwakataa wachezaji Wako hiyo ndio Chelsea leo Tuchel kaja na mbinu ya kuwaachie mcheze nyinyi ili mtengeneze space ya Chelsea kupiga counter attack na nyinyi mmeingia kwenye mtego wake
Kijana acha matusiKmmazao wasenge hawa...hizi cross hazisaidii kumamae hawaoni yaan...wamekomaa nazo...mtu ana nafasi yakusogea anapeleka pembeni kumamae kabisa kuanzia zidane,beki na hizi foward...
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Chelsea ya TT not Lampard.Hii timu ya kufukuza wotee