Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,363
Sema kuna hali ilitokea kutokutulia kwenye 18 ya adui wetu ama mtu kupiga tu tunapokaribia lango la adui, hii kitu iliniudhi sana, kila mtu alitaka kupiga tu.
Pia na kukosa umakini kwa wachezaji wetu, Leo tulikuwa tuwagonge jamaa hata goli nne.
Pia na kukosa umakini kwa wachezaji wetu, Leo tulikuwa tuwagonge jamaa hata goli nne.

