Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Tuombe Lucas awe hana majeraha makubwa, anasaidia sana huyu bwana mdogo
Dogo Luca nachomkubali huwa ana confidence moja kubwa kuliko jinsi anavyoonekana. Nakumbuka hiyo namba Full Right back haikuwa namba yake rasmi. Kwenye msimu mmoja wa UCL majeraha ya DANI CARVAJAL ndo yalimwezesha kuziba hilo pengo mpaka wa leo.
Dogo haangalii sura. Natamani kumwona VINI jnr anapitia daftari la notsi za Luca Vasquez.
 
Mara nyingi sana captain akiwa Benzema hua nidhamu ya timu inashuka.

Kuna muda ilikua kila mtu akifika golini ni kubutua.

Sikuona mantiki ya Benzema kupiga faulo wakati Kroos yupo, faulo ya pili alijishitukia akamuacha Kroos na Kroos hana hiyana akatia nyavuni.

All in all tumecheza vizuri, tunashambulia kwa kujihami na hii inatusaidia sana.
Sema kuna hali ilitokea kutokutulia kwenye 18 ya adui wetu ama mtu kupiga tu tunapokaribia lango la adui, hii kitu iliniudhi sana, kila mtu alitaka kupiga tu.
Pia na kukosa umakini kwa wachezaji wetu, Leo tulikuwa tuwagonge jamaa hata goli nne.
 
Hakuna kitu kama
Dogo Luca nachomkubali huwa ana confidence moja kubwa kuliko jinsi anavyoonekana. Nakumbuka hiyo namba Full Right back haikuwa namba yake rasmi. Kwenye msimu mmoja wa UCL majeraha ya DANI CARVAJAL ndo yalimwezesha kuziba hilo pengo mpaka wa leo.
Dogo haangalii sura. Natamani kumwona VINI jnr anapitia daftari la notsi za Luca Vasquez.


Hivi uliona ushangilia wa wa goli la Benzema. Alikuwa anauliza why? Yaani ilikuwa maana yake, why people don't give you respect? Nakumbuka hata Ronaldo mwenyewe pale alikuwa anamtegemea Vazquez, akichukua mpira tu ujue lazima auingize kwenye box
 
1st goal. Benzema
1618117278373.gif
 
Mara nyingi sana captain akiwa Benzema hua nidhamu ya timu inashuka.

Kuna muda ilikua kila mtu akifika golini ni kubutua.

Sikuona mantiki ya Benzema kupiga faulo wakati Kroos yupo, faulo ya pili alijishitukia akamuacha Kroos na Kroos hana hiyana akatia nyavuni.

All in all tumecheza vizuri, tunashambulia kwa kujihami na hii inatusaidia sana.
Hilo jambo lilinikera sana Mkuu, tulipata nafasi nzuri sana kwenye eneo la hatari la Barca sema utulivu ulikosekana, Zidane itabid akaa na vijana wake awaeleze maana ya kutumia nafasi tunazopata kwa usahihi kwasababu unaweza ukauza ushindi hivi hivi, kama lile tukio la dk 90.
Team yetu ina tabia ya kufuata mtu aliyekaa kwenye club muda mrefu ndio mara nyingi anapewa majukum, ila kiukweli Toni Kroos, Modric, Rodrygo, na Isco ni wapigaji wazuri wa faulu kuliko Ramos na Benzema, sema ile heshima tu ndio inawapa nafasi ya kuchukua hayo majukum
 
Hakuna kitu kama


Hivi uliona ushangilia wa wa goli la Benzema. Alikuwa anauliza why? Yaani ilikuwa maana yake, why people don't give you respect? Nakumbuka hata Ronaldo mwenyewe pale alikuwa anamtegemea Vazquez, akichukua mpira tu ujue lazima auingize kwenye box
Ila kijana msimu ujao anaondoka, ninasikia ameshafanya mazungumzo na Bayern Munich, pale ataletwa kijana wetu aliyekuwa Real Madrid Castilla ila kwasasa anachezea Levante anaitwa Jorge de Frutos.
Ila kwa aina ya uchezaji wa Ordiozola ningependa kama tungepata full back mwingine wa kumsaidia Dan majukum, jamaa amekuwa majeruhi kwa muda sasa
 
Back
Top Bottom