Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Huyu mtu sometime...ila Zidane anatakiwa amtumie sana Vini anaweza kutuhakikishia ushindi
Screenshot_20210410-224102-1.jpg
 
Modric ana miaka 33 bado mtamu kwenye la liga na UCL meanwhile Xavi na Iniesta wakiwa na miaka 33 tayari walikuwa kwenye ligi za Asia.
Arafu mtu mmoja toka Catalonia asema zile tuzo za Modric alibebwa
Modrić kwa sasa ana miaka 35 Mkuu, anakimbilia 36 muda sio mrefu., lakini bado yupo vizuri
 
Back
Top Bottom