Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hiiiiiiiiiiii ahaaaaaa. Mbona twafaaaaa. Nani sasa nacho anajisahau sana. Sema uwezo wake kucheza namba viraka ndo unambakiza hapo madrid. Mm namwonaga mchovu asee


Unatakiwa umuombe samahani Nacho, jamaa kakua kwenye club. Underrated lakini ashaziba sana viraka. Ukimuondoa Nacho muweke Vazquez, hao watu responsibility zao zinafanana pale Real Madrid. Yaani hata Cortois akiumwa hao watu wape gloves tu watakaa golini
 
Unatakiwa umuombe samahani Nacho, jamaa kakua kwenye club. Underrated lakini ashaziba sana viraka. Ukimuondoa Nacho muweke Vazquez, hao watu responsibility zao zinafanana pale Real Madrid. Yaani hata Cortois akiumwa hao watu wape gloves tu watakaa golini
Nacho amekuwa kwenye kiwango bora sana msimu huu, amecheza kwa umakini Mkubwa sana msimu huu toafuti na misimu iliyopita, Ni matumaini yangu kuwa yeye na mwenzie Militao watakuwa na game bora pia kwenye Clasico na game inayofuata pale Anfield
 
Nyie jipangeni sana mtachezea nyingi tukikutana.
Nipigieni Liverpool kwanza halafu mje tuwabutue za kutosha
#CFC
 
Catalan wepesi sana kama tuna kipiga na Granada tu


Wakatalani sasa hivi viroho vinawadunda. Wanachonga sana lakini wanajua kabisa kwamba kipigo kinawasubiri. Nakumbuka el classico ya mwisho kupigwa the Bernabeu Zidane fullback ya kushoto alimweka Marcelo. E bhana aliutandika mpira siku ile. Yaani box to box. Muulize huyo Messi wao, kila wakikutana, Marcelo anachukua mpira miguuni. Ndio maana namweshimu sana Zidane, anaweza kukupa lineup mwenyewe usiamini. Watakachokutana nacho Barcelona pale Di Stafano tutacheka sana. Yaani, I can't wait to see Gerald Pique anaenda mwenyewe nyavuni kuokota mipira
 
Hii game tumeshashinda.

Kinachosumbua hapa kuna game mbele ya Atletico na Barcelona. Naombea watoke sare
Wakatalani sasa hivi viroho vinawadunda. Wanachonga sana lakini wanajua kabisa kwamba kipigo kinawasubiri. Nakumbuka el classico ya mwisho kupigwa the Bernabeu Zidane fullback ya kushoto alimweka Marcelo. E bhana aliutandika mpira siku ile. Yaani box to box. Muulize huyo Messi wao, kila wakikutana, Marcelo anachukua mpira miguuni. Ndio maana namweshimu sana Zidane, anaweza kukupa lineup mwenyewe usiamini. Watakachokutana nacho Barcelona pale Di Stafano tutacheka sana. Yaani, I can't wait to see Gerald Pique anaenda mwenyewe nyavuni kuokota mipira
 
Unatakiwa umuombe samahani Nacho, jamaa kakua kwenye club. Underrated lakini ashaziba sana viraka. Ukimuondoa Nacho muweke Vazquez, hao watu responsibility zao zinafanana pale Real Madrid. Yaani hata Cortois akiumwa hao watu wape gloves tu watakaa golini
Kumradhi NACHO.....🙏🙏🙏🤲🤲
 
Back
Top Bottom