HAKUNAMATATA
JF-Expert Member
- Jun 29, 2017
- 1,006
- 2,289
Dan yupo na atacheza j5,ila sio wa kuweka imani sana kwake maana majeraha msimu huu yamemuandama sana.
Combination ya Lucas kama FB na Asensio hua inanoga sana.
Combination ya Lucas kama FB na Asensio hua inanoga sana.
Yeah, Kijana bana tunaweza tusimuone tena kwenye uzi wetu endapo hatafikia makubaliano na club juu ya mkataba mpya.
Sasa tumebakiwa na Ordiozola na mpaka sasa haijajulikana Dan atarejea lini.