Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Double change,

Casemiro and Lucas Vazquez ➡ OFF

Modric and Mariano ➡ ON.
 
Real Madrid have been denied by the post for the 3 times in this game.
 
DoiBknJWwAEG9Dv.jpg
 
Wakuu hivi sheria gani imefuata hadi mpo juu ya Roma kwenye kundi?. Huku shangwe tu japo kipigo kwenu imekuwa siyo stori tena.

1118-4-f3cc35e1ea7d73ec122425a057e786e3.jpg
 
Sina cha kushangaa Madrid kutofunga goli mechi tatu maana bila sababu ya msingi team iliamua inaweza kuishi bila goli 50 za CR7 sasa karma inarudi kwa maneno ya Mr pancha(bale) na le captain Ramos, wakati huu mgumu Perez na genge lake waliamua kuipitisha team,barca sio wajinga kumuongezea mkataba mrefu Messi tusubiri muda utasema
 
Sina cha kushangaa Madrid kutofunga goli mechi tatu maana bila sababu ya msingi team iliamua inaweza kuishi bila goli 50 za CR7 sasa karma inarudi kwa maneno ya Mr pancha(bale) na le captain Ramos, wakati huu mgumu Perez na genge lake waliamua kuipitisha team,barca sio wajinga kumuongezea mkataba mrefu Messi tusubiri muda utasema

Unataka kugombana na wenzako, walisema siku hizi mnacheza kitimu zaidi na si kumtegemea mtu mmoja.
 
Sina cha kushangaa Madrid kutofunga goli mechi tatu maana bila sababu ya msingi team iliamua inaweza kuishi bila goli 50 za CR7 sasa karma inarudi kwa maneno ya Mr pancha(bale) na le captain Ramos, wakati huu mgumu Perez na genge lake waliamua kuipitisha team,barca sio wajinga kumuongezea mkataba mrefu Messi tusubiri muda utasema

Hizo 50 goals mbona hatoni dalili zake huko Juventus?
Wakati real anakula kichapo kwa spurs mwaka jana mzee wa 50 goals hakuwepo?
Wakati Real inastraggle kwenye ligi mpaka ikifikia nafasi ya 7 mwaka jana mzee wa 50 goals alikua hayupo?
 
Hizo 50 goals mbona hatoni dalili zake huko Juventus?
Wakati real anakula kichapo kwa spurs mwaka jana mzee wa 50 goals hakuwepo?
Wakati Real inastraggle kwenye ligi mpaka ikifikia nafasi ya 7 mwaka jana mzee wa 50 goals alikua hayupo?


Hizo goli 50 huko aliko wanazihitaji sana, hii ni Real Madrid, hatatujawahi kuwa na easy season. Sasa wanaoleta blah blah hawaijui hii timu
 
Plastic fan na wenzao wa upande ule wako bize kutushauri na kutuaminisha ni kosa la jinai kuondoka kwa Cr7.
Hakuna nyakati rahisi daima nitaendelea kuisaport timu kwa matokeo yoyote yale.
 
Back
Top Bottom