Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Yaan madrid kweli tunaitaji boost kidogo ..kwangu mie naona leo tumecheza kiwango cha chini kuliko ata game ya supercup ,kwa hii madrid niliyoona leo sijui kama tutatoboa mwisho wa safari
Tunapiga pass mingi zisizokuwa na chances

Bado,bado,bado team sio ya kuanza kupiga yowe na kutembea vifua mbele
 
Kwangu mimi mbona naona since kocha amekuja tunacheza vizuri sana kuanzia benzema anajituma sana huyo bale sasa ni moto kila kona yupo...asensio nae sina cha kuongelea anapiga mwingi sana..ata wale commentators naona wameiongelea real kwa good way

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwangu mimi mbona naona since kocha amekuja tunacheza vizuri sana kuanzia benzema anajituma sana huyo bale sasa ni moto kila kona yupo...asensio nae sina cha kuongelea anapiga mwingi sana..ata wale commentators naona wameiongelea real kwa good way

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaupiga mwingi ila mtafunga hawa wazembe wazembe, tight games hamtakuwa na decisers.

Nikiangalia hata sokoni sioni mchezaji mnayeweza kumleta kama mbadala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikuangalia game lakini kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali, timu yetu iko vizuri. Goli zitakuja nyingi sana. Ndio kwanza squad inaanza ku adapt technic za Lopetegui. Tunasubiri kusheherekea kama kawaida yetu
 
Real Madrid C.F. have changed the 'font' of their kit for league games as LaLiga want all teams to use the identical 'font'.

39522337_2145897992101616_8419228892027420672_n.jpg
 
Back
Top Bottom