mkuu acha kupingana na uhalisia ambapo watu wanaona wazi kuwa kuna upungufu wa ufungaji na kazi hiyo alikuwa akiifanya vyema LEGEND WETU CR7...KWA ULICHOANDIKA HAPO NI SAWA NA KUSEMA "MESSI SIO ENGINE YA BARCELONA MAANA ATA BARCA NAYO IMEFUNGWA MARA KADHAA NAYEYE AKIWEPO UWANJANI"....WEWE UMEONGEA HAYO HAPO KWA KUWA TU KUNA MDAU AMEONGELEA PENGO LA RONALDO NA NAFIKIRI ALILENGA HASA KWENYE UFUNGAJI...Najua uligusia match hii sio???
View attachment 837477
VIPI MBONA HUZUNGUMZII NA HILI PIA AU TUSEME NDO KUJITOA KUMBUKUMBU???
View attachment 837478
Acha kuwa na fikra potofu maana ata huyo ronaldo ni binadamu pia hawezi kuwa kwenye form kila mechi hivyo hakuna cha kushangaa madrid ilipigwa nne nayeye akiwapo ndani na vipi kama timu nzima ilipoteana angewezaje kurecover hizo nne by himself???
Naomba unielewe kuwa hapa Si maanishi kuuzwa kwa ronaldo ni tatizo kwa real madrid...isipokuwa shida imekuja pale ambapo team haijatafuta mbadala wake na ilihali transfer fee euro105/= za ronaldo zimelipwa na juve isipokuwa clause yake bado na italipwa kwa installments na pia timu ikiwa haikusajili jina kubwa kipindi cha miaka mitatu hapo nyuma hivyo kuna transfer money ya kutosha pale bernabeu sasa kwanini tusisajili??? au ndo kusema perez sasa anarudisha pesa zake during his final years as madrid president and not planning to organize the team anymore??? ifahamike si rahisi kuchukua vikombe ukiwa na washamba kama asensio(si maanishi yeye sio mchezaji isipokuwa bado hafai kuwa straiker tegemezi wa kudrive team forward miweke sawa hapa asensio hamfikii ata dogo mwenzie wanamwita MBAPPE yupo PSG sasa kwanini akabidhiwe mikoba mizito pale REAL???)