Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Gracias Cr7
IMG-20180710-WA0060.jpg
 
Afadhali kaenda. No more drama in the squad. Kinachofuata ni mwendo wa rotation kwa squad nzima, hakuna mambo ya untouchable player anymore
 
Ipo siku mtaona umuhimu wake. Na lazima ataibuka player mwingine untouchable kuliko ronaldo(who knows)maana style ya usajili madrid haibadilikagi
Afadhali kaenda. No more drama in the squad. Kinachofuata ni mwendo wa rotation kwa squad nzima, hakuna mambo ya untouchable player anymore
 
NYOTA wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo sasa ni mali klabu ya Juventus ya Italia. Habari ndio hiyo. Ni kwamba, Ronaldo amesaini mkataba wa miaka minne na mabingwa hao wa kihistoria wa Series A.

Sasa hakuna kificho, kuanzia msimu ujao wa 2018/19, mshindi huyo wa tuzo tano za Ballon D'or atavaa jezi nyeupe na nyeusi na sio nyeupe iliyozoeleka. Taarifa za Ronaldo kuhamia Italia zilianza kuzagaa majumaa kadhaa iliyopita.

Taarifa hizo zinasema kuwa Ronaldo amesaini mkataba wa miaka minne kuitumikia bibi kizee cha Torino, wenye thamani ya Pauni milioni 105. Tetesi hizo zilitiwa nguvu na kikao kati ya wakala wa mreno huyo, Jorge Mendes na Rais wa Real Madrid, Fiorentino Perez.

Mazungumzo kati ya Juventus na Real Madrid yakaanza rasmi. Baada ya kung'olewa na timu take ya ureno kwenye michuano ya Kombe la Dunia, duru za kuaminika zikasema Ronaldo ameonekana Italia.

Sababu za kuondoka kwa Ronaldo, mwenye umri wa miaka 31, pale Santiago Bernabeu, zinadaiwa kuwa ni kutoafikiana na Perez kuhusu mkataba ambapo Ronaldo alitaka mkataba wake uboreshwe, huku sababu nyingine ikiwa ni tetesi za ujio wa Neymar.

Itakumbukwa kwamba, mara baada ya kuiongoza Los Blancoz kutwaa ubingwa wa ligi ya mabingwa Ulaya mara tatu mfululizo, Ronaldo alinukuliwa akisema kuwa, taji hilo ndio LA mwisho kuishindia Real Madrid huku akiwashukuru mashabiki licha ya baadae kuzikana.
 
Ipo siku mtaona umuhimu wake. Na lazima ataibuka player mwingine untouchable kuliko ronaldo(who knows)maana style ya usajili madrid haibadilikagi


Hata Raul, Casillas, Figo na wengine tunakumbuka umuhimu wao. Sasa we sijui ulitakaje, aendelee kukaa pale wakati kashazeeka?Na ukiongea untouchable yule bwana ni zaidi, we mchezaji gani asiyekubali kufanyiwa sub hata kama game imemkataa?
 
The big challenge ni kufanya kazi ambayo alikuwa anaifanya(kufunga magoli) especially in big moment


Real Madrid kila mtu ni goal scorer. Misimu miwili ya mwisho jamaa alikuwa na performance mbovu sana. Mimi nafuatilia kila game ya Real, mara nyingi anapoteza possession kwasababu alikuwa anashindwa kwenda na flow ya wenzake
 
Real Madrid kila mtu ni goal scorer. Misimu miwili ya mwisho jamaa alikuwa na performance mbovu sana. Mimi nafuatilia kila game ya Real, mara nyingi anapoteza possession kwasababu alikuwa anashindwa kwenda na flow ya wenzake
CR7 akiwa kwenye performance mbovu(kama unavyosema) alikuwa na mchango mkubwa kwenye timu kuliko waliokuwa na performance nzuri kwa age yake usitegemee atakuwa anakimbia/kukaba kama yuko kwenye 20s kumbuka ana miaka 33 na kitu kizuri ni jinsi Zidane alivyoweza ku-mfanyia rotation ili awe fit muda mwingi
 
Apa tunatakiwa kuijenga team mpya ambayo itatupa mafanikio kwa muda wa miaka michache ijayo ...ningependa na benzema aondoke


Naamini na madrid tutarudi tukiwa bora zaidi
 
Sababu umejiweka kumchukia zaidi sidhan kama utaelewa hata tukiandikacho kuhusu CR7 all in all jamaa kaibeba sana madrid.
Hata Raul, Casillas, Figo na wengine tunakumbuka umuhimu wao. Sasa we sijui ulitakaje, aendelee kukaa pale wakati kashazeeka?Na ukiongea untouchable yule bwana ni zaidi, we mchezaji gani asiyekubali kufanyiwa sub hata kama game imemkataa?
 
CR7 akiwa kwenye performance mbovu(kama unavyosema) alikuwa na mchango mkubwa kwenye timu kuliko waliokuwa na performance nzuri kwa age yake usitegemee atakuwa anakimbia/kukaba kama yuko kwenye 20s kumbuka ana miaka 33 na kitu kizuri ni jinsi Zidane alivyoweza ku-mfanyia rotation ili awe fit muda mwingi


Sio kukaba tu. Cristiano sasa hivi can't dribble past defenders, he's not flexible anymore. Akiwa na mpira magumashi tupu. Can't give a proper passes, ndio maana nakwambia alikuwa anaua sana moves. Huwa anapoteza mipira ghafla pale usipotegemea na mara nyingi imetucost.
Mimi nafuatilia game za Real bro. Najua wanavyocheza
 
Sababu umejiweka kumchukia zaidi sidhan kama utaelewa hata tukiandikacho kuhusu CR7 all in all jamaa kaibeba sana madrid.


Simchukii Cristiano Ronaldo bali naipenda Real Madrid. Mimi ni honest, hata Casillas watu walipiga kelele lakini mimi nilisema he has to go kwasababu umri na hakuwa na flexibility tena. Cristiano anaweza kucheza vizuri, lakini sio Real Madrid tena, kwingine huko. Sababu ya Real Madrid kuwa juu siku zote ni kwamba wanataka mchezaji awe kwenye best performance yake with no excuse, ndio maana unaona hata Kaka aliondoka baada ya muda tu
 
Sio kukaba tu. Cristiano sasa hivi can't dribble past defenders, he's not flexible anymore. Akiwa na mpira magumashi tupu. Can't give a proper passes, ndio maana nakwambia alikuwa anaua sana moves. Huwa anapoteza mipira ghafla pale usipotegemea na mara nyingi imetucost.
Mimi nafuatilia game za Real bro. Najua wanavyocheza
Dou you except 33 years old striker ambaye muda mwingi amecheza mpira miaka karibia 15 bila kupumzika afanye dribble kama kina Asensio,Isco,Mbape?

Kwenye kufunga magoli CR7 is the best hakuna anayemzidi

CR7 agemates wake ni kina Zlatan,Rooney hakuna mchezaji wa age yake aliyemfikia
 
Dou you except 33 years old striker ambaye muda mwingi amecheza mpira miaka karibia 15 bila kupumzika afanye dribble kama kina Asensio,Isco,Mbape?

Kwenye kufunga magoli CR7 is the best hakuna anayemzidi

CR7 agemates wake ni kina Zlatan,Rooney hakuna mchezaji wa age yake aliyemfikia


Ndio maana nasema, ni wakati mwafaka wa yeye kwenda
 
Back
Top Bottom