ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,499
- 3,635
Vyombo vya habari vinambeba huyo Neymar tu ni bora hata Mbappe kijana wa kaziNeymar huyu mtoto anayelia lia ovyo uwanjani world cup ndo madrid wanamsaka kumziba CR7 aiseee hasara iliyoje
Vyombo vya habari vinambeba huyo Neymar tu ni bora hata Mbappe kijana wa kaziNeymar huyu mtoto anayelia lia ovyo uwanjani world cup ndo madrid wanamsaka kumziba CR7 aiseee hasara iliyoje
De gea hata bure hapana asijeDe Gea akae huko huko, asituletee magazijuto.
Vyombo vya habari vinambeba huyo Neymar tu ni bora hata Mbappe kijana wa kazi
Mbappe yupo vizuri sana anafaa kumrithi CR7View attachment 800658
De Gea akae huko huko, asituletee magazijuto.
watakuja bure kuliko kununua DEGEA 200€ millionYamkini Curtoi akatua.....De Gea akae huko huko, asituletee magazijuto.
Neymar akiacha kulia lia ni mchezaji mzuri, sema akija pale anakuta wakongwe zaidi yake so hata tabia anaweza kubadilisha, ngoja tusubiri tuone Perez ata deal Vp na soko la uhamisho msimu huu...Neymar huyu mtoto anayelia lia ovyo uwanjani world cup ndo madrid wanamsaka kumziba CR7 aiseee hasara iliyoje