Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,112
- 1,249,267
Ok boss
Uzi kudoda pia unachangiwa na mijadala ya kupotosha na isiyo na maana. Kuna wengi humu wanaamua kutochangia wala kusoma ili kulinda afya za vichwa vyao. Threads za Premier League ndio wamezoea ya vijiweni.