ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,499
- 3,635
Hahahahaaa Zizzou akiandika kitabu chake tunaweza kupata mengi,Ila kimsingi kumanage mastar ni ngumu sana,Muulize josee mourinho atakwambia,kuna time alkua anampga cr7 madongo kwamba yeye kamfundisha ronaldo original sio yeye...Inaonekana Cr7 ana nguvu ya aina fulani mpaka anaogopwa na kila mtu mfano liver wanajisifia kumfunika ronaldo uefa,madrista wanaogopa atakua kocha mchezajikila timu inatoaga legend mkuu wale wanaostaafu bila kutimuliwa wala kulazimishwa,zizzou aliondoka mwenyewe.
Zizou kilichombeba pale ni profile lake kama mchezaji na ule ukimya wake tu
