Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Na bila Ramos Madrid hawawezi kulinda cross wala kufunga mipira ya corner. Hapa nimeminya makende hata hii HT.Hawa wahuni wameamua kutumia cross, inabidi Varane amcover Carvajal, Casemiro amcover Vallejo vinginevyo leo zinapita na chopper tu 0-2 HT
Weee mwanamke hujuh kitu nyamazaMume akifa kwa ukimwi mke hana maisha marefu![]()
Hata mimi naona kabisa. Hakuna mtu wa kumtibulia mandzukicNdio kusema RAMOS pengo lake linachangia?
Man acha zako huwez nifananisha Na mwanamama linamo kwa kutambua mpiraaaaWe misogynist na Linamo nani anajua mpira?
Kipindi cha pili Madrid anapiga 1Nakumbuka hata maajabu ya Jana yalianza hivi hivi, mpaka tunaenda mapunziko as roma walikuwa wanahitaji goli mbili tu.
Na Leo tena tumeenda mapunziko juve akiwa anahitaji goli mbili tu apite.
Kuweni makini narudia tena kuweni makini.
Kwan uongo?
Na iwe hivyo maan hapa hali yangu mbayaKipindi cha pili Madrid anapiga 1
Mpira unaisha kwa difference ya goli 1
Jamani jamaniMume akifa kwa ukimwi mke hana maisha marefu![]()

Wewe Wala usiwe Na presha nimeanza kutabiri mpira tangu nikiwa FranceNa iwe hivyo maan hapa hali yangu mbaya