Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

huyu CR7 ni bashite kabisa balle katoka majeruhi sa hivi wanalingana nae magoli,tatizo la mipira isiyo ya vipaji ya kulazimisha
 
Wadau kuna WhatsApp group la Real Madrid TZ?

Kama lipo; 0768895416 naomba admission

Kama halipo Salamander afanye mchakato chap
 
Kwenye Uzi kila mtu analalamika tu kwani mmelazimishwa kuwa madridiots?
 
Wadau kuna WhatsApp group la Real Madrid TZ?

Kama lipo; 0768895416 naomba admission

Kama halipo Salamander afanye mchakato chap
Mkui fungua group, hii kitu ni nzuri, niliona Arsenal Fans walienda kufanya Usafi Hospotali ya Temeke kama sikosei, walitoa na misaada ya vitanda vya Wagonjwa, itapendeza sana Club yetu ikiwa na official Platform ya fans wake kwa hapa nchini
 
Tetesi
Real Madrid inapanga kuwasajili Eden Hazard, 27 na kipa Thibault Courtois, 25, kutoka Chelsea ifikapo mwisho wa msimu. Lakini watasubiri kuona hatma ya Harry Kane wa Tottenham. (Sky Sports)
 
Tetesi

Real Madrid walikuwa na nia ya kutoa ofa ya pauni milioni 177 kwa Coutinho kabla ya kukubali kujiunga na Barcelona kwa pauni milioni 142. (Mundo Deportivo - in Spanish)
 
Hahahahahhahahahahahahahahaahhahahahahahahaahhaahahaha Madrid wamepigwa mitalimbooooo
 
Back
Top Bottom