Tetesi
Real Madrid walikuwa na nia ya kutoa ofa ya pauni milioni 177 kwa Coutinho kabla ya kukubali kujiunga na Barcelona kwa pauni milioni 142. (Mundo Deportivo - in Spanish)
Hahahahahhahahahahahahahahaahhahahahahahahaahhaahahaha Madrid wamepigwa mitalimbooooo
Mna mchezaji better than coutinho kwa sasa????Usiamini kitu chochote wanachoandika Mundo Derpotivo kuhusu Real Madrid. Tena habari zao wala usilete humu. Mundo Deportivo ni Catalonia based News Paper, kazi yao kubwa ni ku-troll Real Madrid. Wanafanya kila wanaloweza ili ku-embarrass Real Madrid na wachezaji wake, kama hujui ndio nakufahamisha.Coutinho angekuja Real Madrid angekaa bench mpaka limzoee. Awaulize wenzie.
tofauti ya point kati ya madrid na timu inayojinusuru kushuka daraja timu ya alves ni points 17
Wewe hata uwezo wa kufikia kucheza na hao al shabab haukua nao!!Celta Virgo hao wanakuja kimbia...mara Valencia hawa...kuna uwezekano mkacheza Ueropa mwakani maana hamna kwakupumulia wala kutokea mara PSG hawa...
Zidane alidhani ni Al shaabab aliowafunga world club cup![]()
Pambana na hali yako huko. Huyo ndo alikuwa top score?Huyu ndiyo mchezaji pekee anayewabebaga hawa malofa wakatibwa shida na raha,hukuna cha Christina wala Bele hapa.
Nitakuja tu, mi si shabiki uchwara kama nyie rangi ya blue mnaita njano..Njoo utambe kule sasa.....si ulisema utakuja utambe...????
Sio kipaji nani top score ucl tena ya sasa sio historia?huyu CR7 ni bashite kabisa balle katoka majeruhi sa hivi wanalingana nae magoli,tatizo la mipira isiyo ya vipaji ya kulazimisha
Acha ujuha we una lolote la kujivunia?Kwenye Uzi kila mtu analalamika tu kwani mmelazimishwa kuwa madridiots?
Penaldo baba ako.Usimsahau na penaldo
utahara wewe na ukoo wakoPsg watapiga haya madude mpaka yaharishe.
Punga mnajuana![]()
Inasemekana jamaa saizi yupo Morocco anapigwa Paipu
Shabiki uchwara mwnywe na madridiots wenzio....Nitakuja tu, mi si shabiki uchwara kama nyie rangi ya blue mnaita njano..
Mbona unamzimikia penaldo hivyo ama amekuahidi atakupitia mwende morocco...Penaldo baba ako.
Mbona povu mkuu?Pambana na hali yako huko. Huyo ndo alikuwa top score?
Ha ha hatuchezi sie na boko haramWewe hata uwezo wa kufikia kucheza na hao al shabab haukua nao!!