Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #34,601
So we have dropped 19 points this season and we are 16 points behind The Catalans now. [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]
Tusubiri mvua ya magoli na PSG tutafanyaj sasa,,,Ronaldo ashazeeka dah
Tatizo Zidane anaznguaSo we have dropped 19 points this season and we are 16 points behind The Catalans now. [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]

Mcmu huu tupambane na Copa del rey tu,,Uefa labda refa awe yule aliechezesha semi final msimu uliopta na MunichMan, huyo ndio galasa kabisa afadhari ya Benzema, lakini usiseme kuna watu humu hawataki kusikia ukweli kama serikali Magufuli.
Ndio tuko vibaya this season ila sio kwa kufkia hatua hyoReal Madrid Msimu Huu inashuka Daraja
kushuka daraja hapanaBeki zimezingua sana pale kumuacha jamaa anaruka kwa kujinafasi peke yake.
Huu unafki kwamba tulibebwa ile mechi? ulitazama mpira au kusimuliwa.Mcmu huu tupambane na Copa del rey tu,,Uefa labda refa awe yule aliechezesha semi final msimu uliopta na Munich
Yaani sielewe ile pace iliyokuwepo msimu uliopita imekwenda wapi. Wakati muafaka wa Perez kutocheka na hawa watu kuanzia Kocha mpaka mfagiaji.Man, goli la kwanza Ronaldo kapoteza possession, tukapigwa counter attack. Ile penalty, Ronaldo kapoteza possession tukapigwa counter attack. Goli la pili, Marcelo kapoteza possession, Nacho hakuwepo uwanjani, mtu kapiga kichwa mbele yake
Me n madridista ila ile game eeeh,,, uliona magoli aliyofunga Ronaldo, uliangalia speech ya Zizzou baada ya ile mechi aliongea nn......Embu pitia tena alaf uje uthibitishe huo unafk hapa mkuuHuu unafki kwamba tulibebwa ile mechi? ulitazama mpira au kusimuliwa.
Zidane anaamini sana vijana, wachezaj watachkuliwa kutoka academy,hivi mbona sisikii hata kama kuna mchezaji tunataka kumsajili, madrid ipo kimya kabisa ndo kusema Zidane ana falsafa za wenger?
mwaka wetu huu