Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,109
- 1,249,100
Icardi & Kane kwenye rada za Real Madrid
Mauro Icardi na Harry Kane ni wachezaji wanaopewa nafasi kubwa kusajiliwa na Real Madrid ili kuimarisha safu yao ya mashambulizi, kimeripoti Diario Gol.
Icardi wa Inter anatarajiwa kusajiliwa uhamisho wa Januari, wakati Kane akiwekewa malengo ya majira ya joto.
Mauro Icardi na Harry Kane ni wachezaji wanaopewa nafasi kubwa kusajiliwa na Real Madrid ili kuimarisha safu yao ya mashambulizi, kimeripoti Diario Gol.
Icardi wa Inter anatarajiwa kusajiliwa uhamisho wa Januari, wakati Kane akiwekewa malengo ya majira ya joto.