swalehe shiza
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,616
- 2,386
Haaa
Hili li tim ni bomu, michezaji mizeeInack Williams yapeleke hivyohivyo
Yafinyefinye hayo mabeki halafu mpe Aduriz atayatungua
Mkuu ulikuwa unasema barabara imeota nini?2-2 na Celta mdogo mdogo barabara ime anza kuota bumps
Tuliza mkungu wa ndiziMkuu ulikuwa unasema barabara imeota nini?