Ha ha sasa Zidane ana mpira zaidi ya huo?time is everythingZidane leo kaa jua hatutaki mpira wako wa tia maji tia maji, mijikrosi tuu .
Sikuangalia mpira lakini hizi player ratings za Eurosport upande wa Madrid kama ni true reflection of what transpired in the pitch, then Zizou has to bring in some changes kama substitution za kina asensio alizozifanya late. Otherwise watakuwa na wakati mgumu kote kote ingawa si sahihi ku write them off completelyIle Madrid iliyocheza leo haikuwa tofauti na Aston Vilaa sio kwa kupigwa huko
It's time to offload Benzema and Bale hizo sarafu anunuliwe striker mwenye njaa zake,Perez peleka blank cheque kwa Utd leta yule jini Dave tofauti na hapo msimu utakua mgumu sana.
Sio bahati mbaya,Real Madrid wanacheza mpira mbovu kwa sasaHakuna haja ya kupanic kwasasa kisa tumefungwa na Spurs, Bado safari ni ndefu sana, tumekuwa na bahati mbaya tu kwasasa, ni kwamba hayaendi kama tunavyotaka tu. Tutarudi tena.
[HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]
Ustaarabu ni kitu cha bure.Naacha rasmi kushabika Madrid maana haina jipya imejaa wachezaji mashoga
Unapiga bajeti Mkuu, kama timu yako kweli na Perez unamjua jua vile, hongerasijawahi kuwa muumini wa timu kununua majina...... wachezaji wengi ghali huwa hawafanyi kitu uwanjani... wachache sana yaani 1percent ndio hufanya vitu...
usajili mwingi wa madrid ule wa pesa kbwa haujawahi isaidia real... kiufupi huwa wanapata hasara ni Ronaldo CR7 tu ndio wamefanya zaidi ya kile walichonunuliwa (thamani)...
kina Bale, james, kaka... na wengine hawajawahi fanya kitu ndani ya moyo walio wanunua huumia ila ndio hakuna wanachoweza fanya...
tunafungwaje na timu kama girona na tott ambao usajili wao si mkubwa kivile?
ni wakati sasa tuanze nunua wachezaji wanao jielewa kwa bei inayoeleweka.... tofauti na hapooo tutumie academy yetu.. bora tufungwe huku tumechezesha academy players kuliko hao kina ronaldo, bale,benzema,kroos, mody,ramos,marcelo,casee etc
Yaani leo unaorodhesha wachezaji walewale waliotupa vikombe miaka miwili mfululizo kuwa hawafai? Hapo ni kubadili mbinu ya uwanjani pamoja na kuleta kipa ya maana na striker mmoja wa ukweli.sijawahi kuwa muumini wa timu kununua majina...... wachezaji wengi ghali huwa hawafanyi kitu uwanjani... wachache sana yaani 1percent ndio hufanya vitu...
usajili mwingi wa madrid ule wa pesa kbwa haujawahi isaidia real... kiufupi huwa wanapata hasara ni Ronaldo CR7 tu ndio wamefanya zaidi ya kile walichonunuliwa (thamani)...
kina Bale, james, kaka... na wengine hawajawahi fanya kitu ndani ya moyo walio wanunua huumia ila ndio hakuna wanachoweza fanya...
tunafungwaje na timu kama girona na tott ambao usajili wao si mkubwa kivile?
ni wakati sasa tuanze nunua wachezaji wanao jielewa kwa bei inayoeleweka.... tofauti na hapooo tutumie academy yetu.. bora tufungwe huku tumechezesha academy players kuliko hao kina ronaldo, bale,benzema,kroos, mody,ramos,marcelo,casee etc