sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 9,727
- 11,109
UjingaNaona Dunia inafuraha leo kipofu kaona mwezi. Tumeshinda kila kitu tena kwa consistency ya juu. Fans wenzangu tusikate tamaa tuwe pamoja kwenye faraja na dhiki.
UjingaNaona Dunia inafuraha leo kipofu kaona mwezi. Tumeshinda kila kitu tena kwa consistency ya juu. Fans wenzangu tusikate tamaa tuwe pamoja kwenye faraja na dhiki.
Aah ile ni sawa na mtu kuua Simba lazma iwe habari kubwaNaona Dunia inafuraha leo kipofu kaona mwezi. Tumeshinda kila kitu tena kwa consistency ya juu. Fans wenzangu tusikate tamaa tuwe pamoja kwenye faraja na dhiki.
Ndio maana nilisisitiza kuanzia mwanzo kuwa hakuna haja ya kupanic kisa tumefungwa, mbona sio mara ya kwanza kufungwa? Vijana wetu wanapitia wakat wa mpito tu na ninaamin watarudi tu soon,Yaani leo unaorodhesha wachezaji walewale waliotupa vikombe miaka miwili mfululizo kuwa hawafai? Hapo ni kubadili mbinu ya uwanjani pamoja na kuleta kipa ya maana na striker mmoja wa ukweli.
Hiyo inaitwa hatimaye...., yaani kuna watu wametuombea mabaya kuanzia msimu uliopita mpaka Hapo juzi ndio wameshusha pumzi., ukijumlisha tena na press za kwa Malkia basi inakuwa shida kweli kweli!? Tutawanyamazisha tena.Naona Dunia inafuraha leo kipofu kaona mwezi. Tumeshinda kila kitu tena kwa consistency ya juu. Fans wenzangu tusikate tamaa tuwe pamoja kwenye faraja na dhiki.
Hii ilikuwa September 2015 Mkuu
kweli kabisa neema inakuja,hiki ni kipindi cha mpitoHiyo inaitwa hatimaye...., yaani kuna watu wametuombea mabaya kuanzia msimu uliopita mpaka Hapo juzi ndio wameshusha pumzi., ukijumlisha tena na press za kwa Malkia basi inakuwa shida kweli kweli!? Tutawanyamazisha tena.
Which era man? Just someone forgot to pay the refsEND OF AN ERA
Kikosi limechoka hilo mazee yamejazana subirin vipigo vingine zaidiNaona Dunia inafuraha leo kipofu kaona mwezi. Tumeshinda kila kitu tena kwa consistency ya juu. Fans wenzangu tusikate tamaa tuwe pamoja kwenye faraja na dhiki.

Kutwa kucha upo huku unakata mauno, hakuna anayetaka tundu bovu hilo.Choko weweUjinga
Katazame tena umri wao, tumeshinda mechi ngapi na kwa goli ngapi? Hii inatokea tu kwa muda.Kikosi limechoka hilo mazee yamejazana subirin vipigo vingine zaidi![]()
![]()
Leo mko bize kwenye kijiwe cha timu ya dunia mkipunguza stress zenu. Endeleeni tu kujipa moyo tunarudi soon.Which era man? Just someone forgot to pay the refs
Poa dada yanguKutwa kucha upo huku unakata mauno, hakuna anayetaka tundu bovu hilo.Choko wewe
Leo mko bize kwenye kijiwe cha timu ya dunia mkipunguza stress zenu. Endeleeni tu kujipa moyo tunarudi soon.
Which era man? Just someone forgot to pay the refs
Sahihi kabisa bandiko lako kikosi sio kibovu kama wanavyotaka kuaminisha watu damu changa zipo zizzou achange karata uzuri tutarudi penye nafasi yetuTupo kwenye kipindi kigum sana,lkn hatupaswi kuamini kuwa ndio mwisho wetu