Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hahahahahahahahahahhahhahha Real Madrid mmepigwa kipigo cha mbwa mwizi hahahhahhahahaha sasa ao Tottenham tu, Je mkikutana na mziki wa Barcelona hii ya kina mafundi Messi, Paulinho, Dembele nae anarudi au PSG ya kina Neymar si mtakimbia mji? Na bado nawasubiri El Classico kipigo ntachowapa hamtakisahau maishani mwenu.


Timu hii hii ndio ilikupiga nje ndani only one month ago. Kama huijui El Classico chukua kopo ukachambe.
 
Dele Ali punguza tabia mbaya we mtoto utampigaje tobo watu waliokuzidi umri ina maana hujui kama Luca Modric ni baba mdogo ako uyo. Usirudie tena af uwe na adabu tena utafungaje goal 2 mbele ya babu yako Christina Ronaldo.
 
Timu hii hii ndio ilikupiga nje ndani only one month ago. Kama huijui El Classico chukua kopo ukachambe.
Punguza matusi ndugu yangu, Mpira ushabiki ni maneno bila matusi huwezi jua pegine naweza kukuzidi sana kiumri au ukanizidi sana kiumri haifai iyo.
We kumfunga Barca sahv huwezi ndugu yangu yan wewe nikikufunga chini ya goal 3 naomba nipigwe BAN ya maisha
 
Hahahaha. In La liga this season: Paulinho 352 minutes, 3 goals scored. The best player of the last 20 years, played 540 minutes, scored just 1 goal. Hahahahaha, what a great joke in football🙂😉😀😀😉.
 
Baada ya kufungwa goal 3 na Tottenham Fc na kuishuhudia leo Barcelona akimpa mtu kipigo kama mlichopewa na Tottenham, kesho mtakua dimbani kucheza na Las Palmas. Barcelona tuko katika maombolezo makali baada ya Real Madrid kufungwa goal 3 na tunaomba mashabiki wote wa Real Madrid duniani kote tuungane kuishangilia Barcelona ili itusaidie kuwapiga hawa Sevilla goal 3 kama sie tulizopigwa na Tottenham.
 
Baada ya kufungwa goal 3 na Tottenham Fc na kuishuhudia leo Barcelona akimpa mtu kipigo kama mlichopewa na Tottenham, kesho mtakua dimbani kucheza na Las Palmas. Barcelona tuko katika maombolezo makali baada ya Real Madrid kufungwa goal 3 na tunaomba mashabiki wote wa Real Madrid duniani kote tuungane kuishangilia Barcelona ili itusaidie kuwapiga hawa Sevilla goal 3 kama sie tulizopigwa na Tottenham.
una mawazo ya kitoto sana
 
Baada ya kufungwa goal 3 na Tottenham Fc na kuishuhudia leo Barcelona akimpa mtu kipigo kama mlichopewa na Tottenham, kesho mtakua dimbani kucheza na Las Palmas. Barcelona tuko katika maombolezo makali baada ya Real Madrid kufungwa goal 3 na tunaomba mashabiki wote wa Real Madrid duniani kote tuungane kuishangilia Barcelona ili itusaidie kuwapiga hawa Sevilla goal 3 kama sie tulizopigwa na Tottenham.
una fanana na mshabiki wa team flan apa Tz
 
mbona una anza swag za fanana na Khadija Minara
Hapana mkuu, sie ni Yanga Africa kutofautiana kwenye soko la Ulaya kusitufanye tuwe maadui. Karibu uwanja wa Namfua uone tukichukua point 3 leo.
 
Nimesikia habari za kunyapia mateo kovacic is back katika pitch nafikiri hii ni good news
 
7f8ccb647b826ac198f53633b22e7ca2.jpg
 
Palmas huwa wanacheza mpira vutizi sana. sema beki yao mbovu sana. na forward butu.
 
Cr7 hana bahati kwa kweli. Anajitahidi sana ila nyavu zinagoma
 
Hii sub sijaipenda..ilitakiwa atoke Benzema aingie Lucas au B.Mayoral
 
Back
Top Bottom