Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,360
Hahaha, kama kawa karibuni man, tunakipiga tena Leo.Habari wakuu. Ntakuwepo hapa nikiroga. Nimemuona Aubameyang huruma imeniingia.
Hahaha, kama kawa karibuni man, tunakipiga tena Leo.Habari wakuu. Ntakuwepo hapa nikiroga. Nimemuona Aubameyang huruma imeniingia.
Pole Sana mkuu una kazi ya koroga juaHabari wakuu. Ntakuwepo hapa nikiroga. Nimemuona Aubameyang huruma imeniingia.
Karibu sana siyo wale wenzako wanaoneka humu tukifungwa tu.Habari wakuu. Ntakuwepo hapa nikiroga. Nimemuona Aubameyang huruma imeniingia.
Tunasubiri mfungwe tu-utatuona humuKaribu sana siyo wale wenzako wanaoneka humu tukifungwa tu.
Game imeshaanza. Bado ni bilabilaWakuu ambao mpo kwenye kideo tujulishane hapa, Bado nipo njian, japokuwa ninategemea kufika eneo la tukio dk chache zijazo.
Sawa Israel mtoa rohoMadriddogs Leo anakufa
Nimekaribia mkuu. Siwezi kukosa mechi kali hivi.Karibu sana siyo wale wenzako wanaoneka humu tukifungwa tu.
️Nenda YouTube kweny liveMwenye link live stream
Hakuna chochoteNenda YouTube kweny live
http://www.totalsportek.com/real-madrid-streams/Mwenye link live stream
️