Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

HT:Timu imecheza kwa kiwango cha kati,ukiangalia beki na kiungo ndo imeonyesha uhai...huku mbele hakuna kitu kabisa...beki zao hazisumbuliwi kabisa,mpira haukai kabisa mbele na wala huku mbele hatuonekani tunataka goli...ni wazi kuwa mabadiliko ya haraka yanatakiwa...

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
HALF TIME: The Catalans 0-0 Real Madrid. [HASHTAG]#RMSupercopa[/HASHTAG] [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]

DHIyXQuWsAAsz7p.jpg
 
HT:Timu imecheza kwa kiwango cha kati,ukiangalia beki na kiungo ndo imeonyesha uhai...huku mbele hakuna kitu kabisa...beki zao hazisumbuliwi kabisa,mpira haukai kabisa mbele na wala huku mbele hatuonekani tunataka goli...ni wazi kuwa mabadiliko ya haraka yanatakiwa...

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app


You're right Tall. Benzema na mwenzake wanacheza kama hawako kwenye El Classico. Hii timu inataka vijana wenye njaa ya mabao kama Asensio sio hawa mafather.
 
First half by both teams has been really slow. Both teams are struggling to continue their play. I'm expecting better and more composed second half. And we need some changes on the forward line.
 
HT:Timu imecheza kwa kiwango cha kati,ukiangalia beki na kiungo ndo imeonyesha uhai...huku mbele hakuna kitu kabisa...beki zao hazisumbuliwi kabisa,mpira haukai kabisa mbele na wala huku mbele hatuonekani tunataka goli...ni wazi kuwa mabadiliko ya haraka yanatakiwa...

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app


Usishanga Zidane akampeleka Isco bench Benzema akabaki uwanjani.
 
First half by both teams has been really slow. Both teams are struggling to continue their play. I'm expecting better and more composed second half. And we need some changes on the forward line.
Mechi ya ICC ilikuwa na pace kuliko hii.
 
Back
Top Bottom