Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Jamaa anazeeka vibaya anafungwa magoli laini laini kwa kweliii

Niliwahi kusema kuwa Buffoni ni kipa mzuri lakini ile defence yao nayo inamsaidia sana...Sasa Jana kocha wake Allegri aliamua kumzalilisha kipa wake...maana kwa kutumia ile formation ya "3-4-1-2" ile back-line ilikuwa na mabeki watatu tu yaana CHIELLIN, BONUCCI NA SANDRO...wale mabeki huwa wanawork at their best level wakiwa wanne katika formation ya "4-2-3-1"...Allegri alidanganyika kwa kuwa real tuna viungo wazuri wachezeshaji akaamua kuweka viungo wake wanne pale kati...amesahau yeye ana viungo wengi waakabaji sio wakuchezesha timu kama kroos na modric...nia yake ni kubalance mchenzo pale dimbani ili nao wamiliki Mpira kama real...alifanikiwa dakika 10 za mwanzo ila muda ulivyozidi alijutia maamuzi hayo ya kuweka viungo wanne dhidi ya watatu Wa Madrid huku akidiriki kumuacha buffoni na mabeki watatu tu....Pole ziende kwao hope Siku nyingine hatorudia tena ujinga ule kwenye games za kikubwa.
 
Zidane afanye kuwaingiza Morata, Bale na Kovacic wapigilie msumari wa mwisho..!!

Bale aligewa assist moja safi sana na CR7 ila bonucci aliwahi kuitilia miguu na kuutoa ule Mpira kwenye box lao...ata hivyo nampa ecko BALE maana Jamaa katokea majeruhi hivyo angeforce sana kushinda kwa kugombea ule Mpira na bonucci angeweza kuvunjwa na kupewa majeruhi mengine...kitu kizuri ni kuwa tulishinda lile taji na tutegemee bale kuuanza msimu ujao vyema bila injury.
 
Unakumbuka kuanzia last season ulikuwa unalalamika Perez amuuze CR7

Kizuri ni kumzoea tu Ronaldo kuna kipindi huwa anaweza akaanza msimu vizurii na akamaliza vyema au akaanza vibaya na kuja kumaliza vizurii mwishoni...wote tukilijua hili haitotupa shida sana Mkuu.
 
Next Man Utd super cup kanyaga kila anayepita mbele

Wameshaelewa na Tiyari mashabiki wao wameshachanganyikiwa mkuu...ona mwenyewe kwenye page ya Man-u Twitter

Screenshot_2017-06-04-04-19-24.png

Screenshot_2017-06-04-04-20-10.png

Man-U bwana labda tusubiri tuone vijana wapya watakaosajiliwa na MOU wanaweza tupa changamoto ila kwa kikosi Kile cha sasa pale OT wajipange tena sana ata Mou anafahamu hili kuwa hawezi kutuzuia kwenda michuano ya FIFA CLUB WORLD CUP...Sasa sijui walifikiri Juve wangepita ndo ingekuwa rahisi kwao!
 
Kumbe hata ATM wagumu hawa walaini kabisa

Mkuu sio laini hao....isipokuwa ni ukweli usiopingika kuwa MADRID KWASASA NDIO TIMU YENYE KIKOSI BORA DUNIANI CHENYE UBORA WA JUU KABISA...Wangetumia ile "4-2-3-1" kidogo ingetupa challenge ila sio kwa mfumo Huo waliotumia Jana.
 
Eti wagumu!!? Wagumu huko huko kwenu

Na ukiuliza kipimo chao cha ugumu kwa Juve ni kipi...utasikia "yani MSN imeshindwa kabisa kumfunga buffoni ata goli moja ndo iwe Ronaldo au benzema...Sasa mimi nikawaambia mbona Mbappe mtoto mdogo tu yule aged 18 na amewafunga watu wazima Juve.
 
Ila wampe tu Buffon Ballon d'or kama mashabiki wa Barca wanavyotaka maana ndiyo anastaafu tena angalau atoke na chochote kitu asistaafu bila tunzo

Mkuu hii haipo sio kwenye soccer tu Bali kwenye mchezo wowote ule duniani...maana hana vigezo Sasa kuwazidi wengine alafu apewe ili iweje kuipotosha jamii ya wanasoccer kuwa buffoni ndie mchezaji bora au?...anaweza ingia ile top-3 ila kubeba it's not an easily job...Neverrr!!!
 

The Man Of The Match HuyoOo...A.K.A The Man Of The Show!!!

DBc8uKBUAAAYt6f.jpg


Sir.Ferguson huyo...ndiye aliyechaguliwa na shirikisho la UEFA kumkabidhi Ronaldo hiyo kitu...[HASHTAG]#BABAnaMWANAE[/HASHTAG] ,napendaga jinsi Ronaldo anavyo muheshimu Ferguson...kwa kuutambua mchango Wa Fergie kwenye mafanikio yake kwa kiasi kikubwa na muda mwengine huwa Analia kwa furaha akikumbuka Fergie alikomtoa...anamwitaga Baba ake Wa kisoccer

Screenshot_2017-06-04-02-21-42.png
 
Mkuu hii haipo sio kwenye soccer tu Bali kwenye mchezo wowote ule duniani...maana hana vigezo Sasa kuwazidi wengine alafu apewe ili iweje kuipotosha jamii ya wanasoccer kuwa buffoni ndie mchezaji bora au?...anaweza ingia ile top-3 ila kubeba it's not an easily job...Neverrr!!!
Mi nawatania wale timu roho mbaya wote waliokuwa wanataka apewe Gigi maana siwasikii tena sahivi.
 
Back
Top Bottom