Jamaa anazeeka vibaya anafungwa magoli laini laini kwa kweliiiWhat a night whoooooaaa
Buffon ngoma imeishaaa staafuuu sasa

Baloon d'or unamhusu Jamaa...
Bado mkuuuh tukomae zaidiiiiiii......
Hahahaha kila kitu kina muda wake.Jamaa anazeeka vibaya anafungwa magoli laini laini kwa kweliii![]()
![]()
Jamaa si wa Dunia Hii mkuu... Kiatu na Baloon d'0 vyote vyake...
Wanapoteana tuuuMasikini watoto wa watu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Unakumbuka kuanzia last season ulikuwa unalalamika Perez amuuze CR7Cristiano Ronaldo has scored 10+ Champions League goals in six consecutive seasons—nobody else has managed it in more than two.