Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #30,001
Champions de Europe
Yani namkubali Zizou mpaka basi. Tokea akiwa mchezaji hadi kocha.
Huyu ndiye mchezaji wangu bora wa miaka yote,achana nao akina Pele wenu hahahaaa
Seriously jamaa ni genius wa mpira [emoji122] [emoji122] [emoji119]
Hala MadridIla tuliwaoverate sana hawa Juve,wamepigwa kiulaini hadi aibu yani.
Hala Madrid
Cheers [emoji485]
Wagumu Kwa MESSI.... hahaasaa.Eti wagumu!!? Wagumu huko huko kwenu