Mh kwani yeye wa kwanza kustaafu..ahhha ahhhha ina maana mashabiki wa Barca mtu wao yule hawampi tena nafasi ..Ila wampe tu Buffon Ballon d'or kama mashabiki wa Barca wanavyotaka maana ndiyo anastaafu tena angalau atoke na chochote kitu asistaafu bila tunzo
Mkuu mpaka inashangaza sana.Ronaldo nae ana sifa yaani huku mwishoni ndo anawazodoa wajinga wasipenda
Kazi waliopiga hawa vijana imetukuka sana, Luka alikuwa anafanya anachotaka, Casemiro mmh, weka mbali na watoto, bila kumsahau Dani Carvajal, nimependa kila kitu vijana wetu walichofanya!!Marcelo.modric.casemiro .isco hawa jamaaa hatar sana we say aporla 12.
Hawampi maana alianza Shakira Buffon deserve this Ballon d'or.Mh kwani yeye wa kwanza kustaafu..ahhha ahhhha ina maana mashabiki wa Barca mtu wao yule hawampi tena nafasi ..
Team Andunje wana wakati mgumu aisee..hawana furaha kabisaHawampi maana alianza Shakira Buffon deserve this Ballon d'or.
Mara Xavi naye hivyo hivyo.
Na gazeti lao nalo hivyo hivyo
Sasa kwa kumhurumia tu apewe tuwasikilize mahasimu wetu jamani.
CR7 kachua kombe na kiatu basi ballon d'or amwachie Buffon ili Timu andunje(Messi) wafurahi