Ningebeti kubwakubwa kama ya Barca na hii. Mambo ya calculated risk. Hongereni sana kwa kandanda kubwa sana. Magoli ya kufight kama cross ya Modric na ya Marcelo.Mkuu tangu umeanza kubashiri game za Real Madrid mpaka leo ungekuwa unaweka hela saa hizi ushakuwa masikini
Inawezekana.......
Tangu msimu unaanza nilisema, Real Madrid is about to break the curse, na sasa hivi naongea tena kwa mwendo huu lazima tuchukue Hat Trick
Marcello na Modrich hatari sanaNingebeti kubwakubwa kama ya Barca na hii. Mambo ya calculated risk. Hongereni sana kwa kandanda kubwa sana. Magoli ya kufight kama cross ya Modric na ya Marcelo.
Nilikuwa na hasira naye huyo mpuuzi!!@refa uchwara.Refa kawbeba mbaka kachoka watu wamefungulia koki zote uwanja umejaa maji
Kumwembe alisema " bingwa hajawahi kutetea ubingwa,sijui sasa hivi Ana kauli gani! Zizu ni type nyingine kabisa.