Siafu na Manga
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 2,892
- 8,971
sema ule upande wa danilo hata siuamini sana maana naona mashambulizi mengi yanatokea kule
Ingekuwa bongo tungesema wamepewa pesa na majirani!! au na huko kwa wenzetu haya mambo yapo? Sio kwa kukaza hivyo manCelta Vigo mbona wanabana hivi? Wapo nafasi 13, au wameahidiwa zawadi nn
Celta Vigo mbona wanabana hivi? Wapo nafasi 13, au wameahidiwa zawadi nn
Kweli kabisa Mkuu!! au ndio wanataka kutia mchanga kwenye kitumbua chetu?Home game na Manchester wamecheza mpira mbovu, lakini leo wanatubania. Wangecheza hivi si wangekuwa fainali ya Europa.
Afadhali tumeenda half time tukajipange upya, yaani unaweza ukazuia mpaka ukajikuta unajifunga mwenyew!!
Hii game ingewezekana tungetia Kovacic ndani, sababu akina Modric wanabaki sana nyuma kwa kuogopa kulipua nyumba!!