Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #29,161
FULL TIME: Celta 1-4 Real Madrid (Guidetti 69'; Cristiano 10', 48', Benzema 70'; Toni Kroos 88'). [HASHTAG]#RMLiga[/HASHTAG] [HASHTAG]#HalaMadrid[/HASHTAG]
James ni mzuri kuliko D'maria kwani ananguvu miguuni na control nzuri ya mpiraKweli kabisa maana aliyoyafanya James hata Di Maria alikuwa ana uwezo wa kufanya
Baba mwenye nyumba anataka kuwalaza watoto wake njaa bana, ndio mambo gani sasa hayo!!Baba mwenye nyumba huyo
Aaaah pole sana nduguMechi ya kipuuzi sana.
Madrid wamenunua mechi.
achana nayo kuna game ya man Utd uko au subir yenuMechi ya kipuuzi sana.
Madrid wamenunua mechi.
na hivi kocha wa Malaga José Miguel González alikuwa mchezaji wa Madrid nadhani atapenda zaidi team yake ya zamani ikichukua ubingwa.............................nadhani atacheza fair game😀😀😀😀😀😀😀
Mechi ya kipuuzi sana.
Madrid wamenunua mechi.



wata hama sana mwaka huu, wakitoka Malaga watahamia Juve na cc tunapiga tu hao waume zaoMajirani msije kuanzisha Malaga Special Thread![]()
![]()
RECORD: Cristiano Ronaldo now has 367 goals in Europe's top 5 leagues; more than any other player in history.
Next up: Jimmy Greaves (366).
katika wachezaji wote wanaocheza na waliocheza ligi kubwa 5 za ulaya ambazo ni England, Italy, Spain, France na Germany yeye ndo anaogoza kwa magoliHii rekodi sijaelewa
Hebu ifananue