Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kaka hapa umejichanganya kidogo Bale Na di Maria walicheza pamoja msimu wa 2013 /14 na kama unakumbuka goli la pili kwenye fainali ya UCL 2014 di Maria alipiga shuti golini kipa akapangua Bale akamalizia.
Ipo hivi 2013 Ozil aliuzwa kumpisha Bale, na 2014 Di Maria aliuzwa kumpisha James

Dah!..nimekumbuka asee,tena hilo goli la bale alimalizia kwa header,na atletico ndo walitangulia kupata goli vile then Ramos alisawazisha kwa header pia...bale akapiga la pili na goli la mwisho alipiga Cr7 penalty na la Tatu kama sikosei alifungaga Marcelo,Tena hiyo final atletico alipigwa 4 na Real,Duh!..Kweli Memories past...lakini ata hivyo kiuhalisia bado James hakuwa ideal player kumreplace Di Maria.
 
Di Maria kuuzwa ilikuwa kosa kubwa sana

Tena ni kosa lilifanyika chini ya manager:ancelotti...maana Yule Di maria ni aina ya winger mwenye Deep cutting kwenye opponent defence...Wote sio bale wala James aliyeweza kucheza kama jamaa pale Real...Perhaps tusubiri bale anaweza akaja ongezeka makali mbeleni kidogo maana umri wake bado unaruhusu kiaina ingawa wachezaji wengi nyota ndo huwa kwenye peak yao wakiwa na umri kama wa bale then uko mbelen ndo huwa wanadrop,lakini ni ukweli kuwa tuliuza Silaha kwa Man-U na Man-U walishindwa kujua vyema matumizi ya silaha ile...then wakaiuza kwa PSG...hawa wakafahamu namna ya kumtumia jamaa kwenye mashambulizi sahivi wanavuna matunda yake!
 
764d67389ee82810d6659a4b0f5e4594.jpg



Celta are the only team to have beaten Real Madrid and Barcelona this season (all comps).

Real Madrid are the first team to score in 62 consecutive all competition matches in the top five European leagues.

Celta have lost their last five league games against Real Madrid, all since Berizzo joined Celta.

Real Madrid have scored at least once in each or their 36 La Liga 2016/17 games. Never in their history they scored in every game of a single La Liga season.

No team in Europe's top five leagues have scored more headed goals in a single league season than Real Madrid (27) since at least 2003/04.

Cristiano Ronaldo has scored in nine of his 11 appeareances against Celta in all competitions (18 goals).

Toni Kroos has provided more assists than any other midfielder in La Liga this season (12), his best return in a single season.

efb07564cc3c928f40f54940cb05841c.jpg
 
Di Maria kuuzwa ilikuwa kosa kubwa sana
Mkuu ishu ya kuuzwa kwa Di Maria, haina tofauti sana na ya Ozil, wote hawa walishawishiwa na wazazi wao, wote hawa walikuwa na malalamiko ya nyongeza ya mshahara, bahati mbaya club haikufika dau Lao, Hapo ndio mzozo ulipoanzia, ile mabishano maboss wakaona isiwe shida wakawapa green light watembee. Hii ishu mpaka Leo Di Maria anajutia alichofanya, Ozil ndio kabisaa alizinguana na Baba yake mazima!!
Ishu ya James imeanzia mbali, sipendi kuona anaondoka ila ndio hivyo itabid tu aondoke kama anaona pale hapati anachohitaji.
 
Ishu kubwa iliyotokea kwa James, hata kwa Isco, ni kwamba mfumo wetu hauwasupport, japokuwa Isco kwa sasa ame adapt kimtindo, ishu ni kwamba hawa vijana ni typical no 10, hiyo ndio nafasi wanayoweza kuitendea haki zaidi, ila sasa anajikuta anapewa majukum ya kupandisha mashambulizi kutoka dimba la kati pamoja na kukaba, kitu ambacho James huwezi ku offer, madhara yake ndio hayo inabid asugue bench, sasa hiyo inamfanya kuwa mnyonge na kuona kama hana umuhimu kwenye team, na Dogo anaonyesha ni mtu wa kupanic sana, so ngoja tu asepe, Bado tuna vijana wakali tu.
 
James ni average player kwa Real
Na Real walikosea mnunua na walipoteza hela
James na Bale ni useless kwa bei walizonunuliwa
Nakupinga kwa hili mkuu, James hapati nafasi lkn kila akiingia lazma aache alama kwenye game husika!
 
As's Cover | "Zidane set to use same starting XI from the champions league second leg tonight vs Celta Vigo."

DAAm7m_XsAAutqf.jpg
 
Marca's Cover | "Madrid can take a decisive step towards the title."

DAAmmsFWsAEwVeU.jpg
 
Cristiano, Isco and Vazquez are one yellow card away from missing the final league match against Malaga. Have to be careful against Celta.
 
[HASHTAG]#CONFIRMED[/HASHTAG]: Nacho available for tonight's game. His yellow card is discarded.
 
Oscar Rodriguez - Cantera's finest talent! Future #10! What a gem of a player. [Video by RMPS]

 
Back
Top Bottom