Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,538
- 15,740
- Thread starter
- #27,821
Very good read.
halaf hii tim inacho nishangaza even in the days we are waay off tuna shinda heheheReal Madrid have lost just 3 of their 50 games this season, they have not had lower losses after 50 games in over 30 years.
Bayern cyo wa kubebwa hatubebwag cc n wanaume kwl mkuu san mia miaBayern Munich 2nd goal was offside .. too [beIN Sport]
Jana ulikuwa ni mwendelezo wa Marcelo kudhihirisha ukali wake!! Jamaa anajua sanaa, kama sio LB bana. Halafu kuna kitu sikukielewa, dakika za mwisho mwisho nilimwona Marcelo akiwa katikati ya dimba, huku Marco Asensio ndio alikuwa kama LB. Sasa sikuelewa kuwa walikubaliana tu hivyo au ni Zidane tu aliamua kutumia Marcelo kama kiungo!!MARCELO 9 DRIBBLES AND 8 CHANCES CREATED!THE GREATEST UCL PERFORMANCE FROM A LB [Sky Sports]
Juventus sio watu wa sport sport..... walichotufanyia pale bernabeu ndicho kimewakuta watani zetuMadridista muwe na huruma jamani..Mkawape pole wenzenu mtaa wa pili wamekutwa na msiba toka kwa vibibi vizee...
Marcelo anajua sana. kwenye ligi ana assist tano, kuliko hata wenye kazi hiyo.Jana ulikuwa ni mwendelezo wa Marcelo kudhihirisha ukali wake!! Jamaa anajua sanaa, kama sio LB bana. Halafu kuna kitu sikukielewa, dakika za mwisho mwisho nilimwona Marcelo akiwa katikati ya dimba, huku Marco Asensio ndio alikuwa kama LB. Sasa sikuelewa kuwa walikubaliana tu hivyo au ni Zidane tu aliamua kutumia Marcelo kama kiungo!!
mlicheza nao game 3 mfululizo ndani ya siku chache!!!hata wewe ukipigana na john cena kila siku wiki nzima unaweza ukamuotea ngumi ya chemba siku ya alhamisi ukashindaI don't know how celta eliminate us from Copa Del Rey!
Kama vp hiyo Jumapili aanzie bench kabisa, anaonekana bado hajapona vizur, kama kawa Isco/Asensio aanze ili tuwe na balance nzuri kwnye kiungo., ninajua kabisa tukicheza 4-4-2 tunaondoka na ushindi hiyo Jumapili.Gareth Bale returns to train with the Group!!
Kama vp hiyo Jumapili aanzie bench kabisa, anaonekana bado hajapona vizur, kama kawa Isco/Asensio aanze ili tuwe na balance nzuri kwnye kiungo., ninajua kabisa tukicheza 4-4-2 tunaondoka na ushindi hiyo Jumapili.